ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kumbe akili unazo mkuu lucas na sema uwa unajitoa ufahamuAliyeshiba hamjui mwenye njaa.
Kauli hiyo ni ya dharau sana kwa wananchi wanaohangaika na kuteseka Juani wakitafuta mia mia .halafu yule anayeishi kwa kodi za hao wavuja jasho Juani anatoa kauli za dharau kiasi hicho. Mungu yupo na vyote vitabakia Duniani tu na hakuna atakaye pigiwa tena salute mbele za Mwenyezi Mungu. Kule matendo ndio yatakayowekwa katika mzani kwa ajili ya kupimwa na kulipwa kwa ajili ya matendo husika..Kumbe akili unazo mkuu lucas na sema uwa unajitoa ufahamu
Ana tofauti gani na mi ccm?Aliyeshiba hamjui mwenye njaa.
Chuki peleka kwa waliokusababishia umaskini sio kulaumu SamiaKama Hangaya.
Kaka kazi kupatikana mjini ni ngumu ana ana familia. Inabidi ajitoe ufahamKumbe akili unazo mkuu lucas na sema uwa unajitoa ufahamu
Kumbe wewe kunguni wa mama Abdul huwa unajua rais anaishi kwa kodi za wavuja jasho na sio kwa pesa zake.Kauli hiyo ni ya dharau sana kwa wananchi wanaohangaika na kuteseka Juani wakitafuta mia mia .halafu yule anayeishi kwa kodi za hao wavuja jasho Juani anatoa kauli za dharau kiasi hicho. Mungu yupo na vyote vitabakia Duniani tu na hakuna atakaye pigiwa tena salute mbele za Mwenyezi Mungu. Kule matendo ndio yatakayowekwa katika mzani kwa ajili ya kupimwa na kulipwa kwa ajili ya matendo husika..
Kina roho mbaya sn hiki bibiHangaya
Chuki peleka kwa waliokusababishia umaskini sio kulaumu Samia
Miongoni mwa maraisi wa hovyo ni huyo babu kizee, sijui anafanya nn madarakani hadi Leo hiiMy Take
Sina hakika kama wanajua ugumu wa utafutaji bila kutegemea mbeleko za Serikalini/siasa .ππ
View: https://www.instagram.com/p/DGh7le-KXps/?igsh=MWlwYTRyNXpud2M1eQ==
Duuu mwambie na mama aache kejeli za aina hiyoAliyeshiba hamjui mwenye njaa.
Yaani huyu babu ni zaidi ya shetaniMiongoni mwa maraisi wa hovyo ni huyo babu kizee, sijui anafanya nn madarakani hadi Leo hii
Unaweza weka Kejeli mojawapo?Duuu mwambie na mama aache kejeli za aina hiyo
Kwa hiyo kama ni Kodi wewe ndio unaziratibi n kuzipanhia matumizi?Kumbe wewe kunguni wa mama Abdul huwa unajua rais anaishi kwa kodi za wavuja jasho na sio kwa pesa zake.
Basi sasa ndio huwa tunakupinga ukileta zile ngojera zako za mama ametoa bilioni moja kujenga shule mara mama ametoa bilioni kadhaa kujenga daraja .
Hizo pesa huyo mama hana ni kodi za wavuja jasho.
Na hata pesa unazolipwa kufanyia ukunguni wa kusifia kila siku ni pesa za wavuja jasho.
Kunguni wote wa mama Abdul ni hopeless kabisa.
Watu wanatekwa ni drama harafu hoyo aliosema hayo ni mseven sio JPMUnaweza weka Kejeli mojawapo?
Kati ya Magufuli na Samia nani amekuwa anakejeli Wananchi?
Niweke nukuu?
.....na kusikitisha....Inashangaza sana