Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndiyo viongozi wa Africa walivyoKabisa hafai hata kusikilizwa maana ni Mzee aliyekosa hekima anapenda tu madaraka na Yuko tayari hata kuua ili abaki madarakani
Na ndo wanasababisha bara la Africa lizidi kudharaulika na mabara mengi Kwa kuzidi kuwa omba omba katika utajiri wa rasilimaliNdiyo viongozi wa Africa walivyo
Naona ule uhasi aliyoutaka kufanya kiza mu7 kaamua kumchenjia swaiba wakeAna roho mbaya sana huyu ni mfano wa viongozi wa kidikteta walioamua kufia madarakani
Kabisa mkuu na tusimlaumu maana ana familiaKaka kazi kupatikana mjini ni ngumu ana ana familia. Inabidi ajitoe ufaham
Na amemuanda mtoto wakeNa ndo wanasababisha bara la Africa lizidi kudharaulika na mabara mengi Kwa kuzidi kuwa omba omba katika utajiri wa rasilimali
Buku 7 ina nguvuKumbe akili unazo mkuu lucas na sema uwa unajitoa ufahamu
Mtu inabidi ajitoe ufahamu ili apate kituNjaa huwa inakuja na maelekezo mkuu.
Na inavyoonekana atakuwa mbaya kuliko baba yakeNa amemuanda mtoto wake
Ova
Chuki watu wanafanyizana banaNa inavyoonekana atakuwa mbaya kuliko baba yake
Wanadhihirisha kauli ya kuwa hakuna urafiki wa kudumuNaona ule uhasi aliyoutaka kufanya kiza mu7 kaamua kumchenjia swaiba wake
Maana kiza ndy alikuwa dr wa mu7 ...na mke wa kiza mwanzoni alikuwa mke wa mu7
Hawa walikuwa na ukaribu sana,lkn naona mwamba kamgeuka swaiba wake
Ova
Ngoja wanyimwe misaadaChuki watu wanafanyizana bana
Kisasi juu ya kisasi
Ova
Unafikiri waliomsababishia umaskini ni kina nani hao kama siyo serikali?Chuki peleka kwa waliokusababishia umaskini sio kulaumu Samia
Natamani nikuone live we mwuungwana na mwelewa mnoKauli hiyo ni ya dharau sana kwa wananchi wanaohangaika na kuteseka Juani wakitafuta mia mia .halafu yule anayeishi kwa kodi za hao wavuja jasho Juani anatoa kauli za dharau kiasi hicho. Mungu yupo na vyote vitabakia Duniani tu na hakuna atakaye pigiwa tena salute mbele za Mwenyezi Mungu. Kule matendo ndio yatakayowekwa katika mzani kwa ajili ya kupimwa na kulipwa kwa ajili ya matendo husika..
Ukweli Africa imebarikiwa kuwa na viongozi wajinga haswaNa ndo wanasababisha bara la Africa lizidi kudharaulika na mabara mengi Kwa kuzidi kuwa omba omba katika utajiri wa rasilimali
Yohana Mbatizaji ukuje huku. Naona akaunti yako imechukuliwa na wajanja. Huyu siye yule Mbatizaji wetu tunayemfahamu.Yuko sahihi kabisa ndio sababu akina Lucas Mwashambwa wamejisajili CHAWA FC Ili kuukimbia Umaskini Uliotukuka 😂
Cc SamiaAliyeshiba hamjui mwenye njaa.
Hata huyu ambae hajawahi kushika milioni, anatoa kodi na mafisadi wanaidaka. Umasikini utazidi mpaka mafisadi wathibitiwe.Kama Hangaya.
Kabisa mkuuUkweli Africa imebarikiwa kuwa na viongozi wajinga haswa