- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahHalafu Kuna wapuuzi wanamsifia kwa hatua ya Lockdown.Museveni hakuwahi kuwapenda wananchi wake Kama anavyoaminisha,bali ilikuwa ni mkakati kuonyesha Taifa lipo serious na Corona na uchaguzi usiwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2]Tuahirishe uchaguzi kwa sababu ya mafuta ya kwenye kioo ambayo yanasambaratishwa kwa maji ya maji ya tangawizi?
Acheni utani
Sent using Jamii Forums mobile app
Au wapiga kura hawakujitokezaNa ukikaribia uchaguzi tutarajie upikwaji takwimu ili ionekane hali ni mbaya kuitisha uchaguzi.
Wapiga Ramli wa Kibongo Mmeanza kuwasemea watuHalafu Kuna wapuuzi wanamsifia kwa hatua ya Lockdown.Museveni hakuwahi kuwapenda wananchi wake Kama anavyoaminisha,bali ilikuwa ni mkakati kuonyesha Taifa lipo serious na Corona na uchaguzi usiwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi binafsi naona lililo mbele yetu kwa sasa ni kugombania uhai wetu kwanza; hayo ya uchaguzi, vyama vifanye maridhiano vione tutasongaje mbele kama Taifa bila ya kuwakusanya watu kama walivyofanya Burundi. Nchi ni yeu sote, kuna ubaya gaani wa kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa 2020 to 2025?huu wa october nao vipi?
Sisi wananchi wa kawaida tumeambiwa tuchape kazi kama kawaida....bungeni wanapiga kazi kama kawaida....hivyo hivyo uchaguzi uwepo tu kama kawaidahuu wa october nao vipi?
Hahaah.Nilijua tu mbio zake zote lengo kilikua Ni hapo
Huo tunaufikiria kwa sasahuu wa october nao vipi?