Mzee kawa kumbuka wazee wenzake hakuna ubayaHuoni tatizo vieze kusujudia mtukufu
Ukiwa hauna hela hata akili hauna unakuwa mtumwa tuHuoni tatizo vizee kusujudia mtukufu
Wala hilo halina mjadala, lakini upige kura ama usipige, bado haiwezi muathiri bepali yule!Baada ya hapa hawa wanaamini kura kwa Museveni
Njaa na ugumu wa maisha tatizoHuoni tatizo vizee kusujudia mtukufu