Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Rais Mwinyi amjibu aliyehoji kapata wapi hela za kufanya harusi ya kifahali hivyo. Ila hili nalo lilikuwa jambo la kuaddress kwenye Mkutano wa CCM, au ndio kiki apate kuongelewa kipindi hiki tunapoeleka kwenye uchaguzi mkuu 2025?
Pia soma: Harusi ya kuolewa Binti wa Rais Hussein Mwinyi
Yuko mmoja juzi nimemsikia kwenye clip anaingilia harusi ya mwanangu. Nimefanya harusi ya mwanangu, mimi nina wapenzi wengi, wamenichangia nimefanya harusi nzuri, anahoji huyu pes azote hizo kapata wapi!
Mimi namwambia na wewe oa nitakuchangia!
Rais Mwinyi amjibu aliyehoji kapata wapi hela za kufanya harusi ya kifahali hivyo. Ila hili nalo lilikuwa jambo la kuaddress kwenye Mkutano wa CCM, au ndio kiki apate kuongelewa kipindi hiki tunapoeleka kwenye uchaguzi mkuu 2025?
Pia soma: Harusi ya kuolewa Binti wa Rais Hussein Mwinyi
Yuko mmoja juzi nimemsikia kwenye clip anaingilia harusi ya mwanangu. Nimefanya harusi ya mwanangu, mimi nina wapenzi wengi, wamenichangia nimefanya harusi nzuri, anahoji huyu pes azote hizo kapata wapi!
Mimi namwambia na wewe oa nitakuchangia!