Ulitaka ajibu Nini mkuu,kataa ndoa ni wasumbufu..hao inapaswa kuwajibu likujialo kichwaniJibu halijakaa vizuri kutoka kwa kiongozi mwenye rank kama yake.
Ulitaka ajibu Nini mkuu,kataa ndoa ni wasumbufu..hao inapaswa kuwajibu likujialo kichwani
Hapana,tumezidi ufukunyuku...tutambue huyo ni mtu mkubwa na pesa ufuata mkondo mkuuNimechangiwa na wadau mbalimbali.
Mwinyi sio mtu wa vijembe tatizo liko kwa wazazibar wanapenda sana siasa za kuchambana na kwakuwa tunaelekea kwenye uchaguzi Mh Mwinyi anawapa kitu wao wanapendaga kusikiaUkisikiliza background mama mmoja anasema mpeeee!!
Vp ulitaka awe tupe ndani au watekwe ndiyo ungejua kweli huyu ndiyo kiongozi mwenye rank zake!!??Jibu halijakaa vizuri kutoka kwa kiongozi mwenye rank kama yake.
Kumbe na yeye hana busaraWakuu,
Rais Mwinyi amjibu aliyehoji kapata wapi hela za kufanya harusi ya kifahali hivyo. Ila hili nalo lilikuwa jambo la kuaddress kwenye Mkutano wa CCM, au ndio kiki apate kuongelewa kipindi hiki tunapoeleka kwenye uchaguzi mkuu 2025?
Pia soma: Harusi ya kuolewa Binti wa Rais Hussein Mwinyi
Yuko mmoja juzi nimemsikia kwenye clip anaingilia harusi ya mwanangu. Nimefanya harusi ya mwanangu, mimi nina wapenzi wengi, wamenichangia nimefanya harusi nzuri, anahoji huyu pes azote hizo kapata wapi!
Mimi namwambia na wewe oa nitakuchangia!