Rais Mwinyi atoa onyo kwa watakaopandisha bei ya bidhaa Zanzibar

badilisha title. Unadai ametoa onyo kisha content unasema amewasihi-begged.....??
 
Ukweli ni kwamba haijalishi kama ametoa onyo au amewasihi, bei hazitashuka kwa sababu hizo. Uchumi haubadilishwi kwa maonyo au kusihi wafanyabiashara.
badilisha title. Unadai ametoa onyo kisha content unasema amewasihi-begged.....??
 
Sasa huyu Tunaemuita Rais wa JAMHURI ya muungano wa TANZANIA 🇹🇿 ni tanzania ipi sasa
 
Huu wimbo kila mwaka unaimbwa imekuwa kama routine. Impact yake haionekani. Isitoshe urais wa Zanzibar na Ramadhan vina uhusiano gani?
Rais moja ya kazi zake NI kuuendeleza Mila thilka na Urithi WA Nchi yake RAMAZAN NI ktk utamaduni wetu thilka yetu na ishara ya Nchi yetu
Hivyo Basi ikisha Mfungo Rais anakwagua gwaride na ana hutubia Baraza la IDI
Iko hivyo ukitaka usitake ukipenda usipende ukifurahi ukinuna

Na jengine nikwambie RAIS WA ZANZIBAR kuna siku mbili huwa ana toka full scoter yaani migari na mipikipiki kama yote
MAPINDUZI DAY na
EID DAY

Endelea kumeza viwembeeee
 
Dah.....kwa kifupi Sir 100 kashindwa udereva....2025hrs tumkatae.....imetosha 🤭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…