JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Walipouliwa watu kwenye uchaguzi wa 2020 uliomweka yeye madarakani kwa nguvu mbona aliukimbilia uraisi hakujiuzuluNi jambo jema
Pombe adimu sana kwa sasa, tunahaha kweli Hadi tuende jeshini!Anamsema Waziri wake wa zamani wa Utalii
Unafiki ndio definition ya Siasa za Mtu Mweusi, anaachaje Mkuu!!!Walipouliwa watu kwenye uchaguzi wa 2020 uliomweka yeye madarakani kwa nguvu mbona aliukimbilia uraisi hakujiuzulu
Awache unafiki mwizi mmoja
Hana lolote ni udini tu ulikuwa unawatesa, kujihuzulu yapasa utangazeRais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi anasema "Ilipotokea ajali ya mabomu kule Gongo
la Mboto, mimi nikiwa Waziri wa ulinzi nilipeleka ujumbe kwa Rais wangu wakati huo Mhe. Kikwete nikimtaka aliridhie nijiuzulu lakini sikukurupuka
kwenda kwenye vyombo vya habari nikatangaza
kwamba nimejiuzulu sio utaratibu. Utaratibu unataka
umwambie aliyekuteua akubali ndio ukatangaze kujiuzulu, Mhe.Kikwete akasema hii ni ajali huna sababu ya kujiuzulu, hakuna mtu aliyesikia kama
nilitaka kujiuzulu leo nasema hili hadharani lakini sikuwahi kulisema."
Yap yaani wao issue kuwajibika kwao ni haipo
Hili la waziri wake kujiuzulu limemuumiza sana? Viongozi wa Tanzania wakikupa uteuzi wanaona wamekupa maisha(ugali) sasa ukijiuzulu wanashangaa sana unaachaje ugali?
Lakini ni vizuri sana kuonana na aliyekuteua na kumtaarifu unataka kujiuzulu.
Mwinyi hafai hata kidogoWalipouliwa watu kwenye uchaguzi wa 2020 uliomweka yeye madarakani kwa nguvu mbona aliukimbilia uraisi hakujiuzulu
Awache unafiki mwizi mmoja
Mwinyi ni mtu wa hovyo snasipoteze habari tunataka kujua wamasai umechukua hatua gani