chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Namshauri Mwinyi awatumie mawaziri wa kisekta kuwajibu ACT, yeye awe mtu wa mwisho in case wana-fail.
Kama ikashindikana, atumie chama, kwa kuwa wanaompa changamoto, wanampa kwa kofia ya Siasa, wanaotumia kofia ya Siasa, wajibu kisiasa, ukiwajibu kitaalamu, ujumbe huwa haupenyi sawasawa.
Na pia, wanamvuta katika mchezo wanaoupenda, mchezo wa kurushiana maneno, akijaa, basi, marehemu (upinzani) atapiga chafya.
Wasalaam, kwako Chaaz Hillary, Mzee wa Lachaazi, keep the president's line of guard.
Kama ikashindikana, atumie chama, kwa kuwa wanaompa changamoto, wanampa kwa kofia ya Siasa, wanaotumia kofia ya Siasa, wajibu kisiasa, ukiwajibu kitaalamu, ujumbe huwa haupenyi sawasawa.
Na pia, wanamvuta katika mchezo wanaoupenda, mchezo wa kurushiana maneno, akijaa, basi, marehemu (upinzani) atapiga chafya.
Wasalaam, kwako Chaaz Hillary, Mzee wa Lachaazi, keep the president's line of guard.