Rais Mwinyi tunaomba Serikali iruhusu kuingia kwa chanjo Zanzibar ili watu waweze kwenda Makkah

Rais Mwinyi tunaomba Serikali iruhusu kuingia kwa chanjo Zanzibar ili watu waweze kwenda Makkah

Mars 12

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2021
Posts
221
Reaction score
349
Rais Ali H. Mwinyi kama unavyojua Zanzibar ni nchi ndani ya Muungano wa Tanzania lakini kwenye masuala ya afya kila upande una wizara yake. Sasa kwa kuwa wakazi wengi (Majority) yao tunaoishi Zanzibar na Pemba ni Waislamu na huu ni Mwezi Mtukufu Wa Ramadhan.

Ombi letu kwako ni kuwa Wazinzibari wengi huwa wanaenda Mji Wetu Mtakatifu Wa Makkah kwa ibada Ya Umraa. Baada ya miezi 3 ni Hijja, yaani mwenye uwezo anasafiri kwenda kuhiji. Na ni Nguzo ya 5 katika Uislamu.

Sasa ombi lenyewe ni kuwa kwa sasa nchi yoyote isiyokuwa na utaratibu wa kuchanja (vaccination) HURUHUSIWI KUINGIA HUKO. Kwa kuwa wizara yetu ya Afya ni huru, Waruhusu kuingiza chanjo ya corona COVID 19 huku visiwani na yule anayetaka, achanje ili tuweze kwenda kufanya hizi ibada Takatifu kwetu.

Tunaomba utafakari.
 
Na unga mkono hoja. Nadhani kwa hili tumechelewa/tumecheleweshwa mno.
 
Rais Ali H. Mwinyi kama unavyojua Zanzibar ni nchi ndani ya Muungano wa Tanzania lakini kwenye masuala ya afya kila upande una wizara yake. Sasa kwa kuwa wakazi wengi (Majority) yao tunaoishi Zanzibar na Pemba ni Waislamu na huu ni Mwezi Mtukufu Wa Ramadhan.

Ombi letu kwako ni kuwa Wazinzibari wengi huwa wanaenda Mji Wetu Mtakatifu Wa Makkah kwa ibada Ya Umraa. Baada ya miezi 3 ni Hijja, yaani mwenye uwezo anasafiri kwenda kuhiji. Na ni Nguzo ya 5 katika Uislamu.

Sasa ombi lenyewe ni kuwa kwa sasa nchi yoyote isiyokuwa na utaratibu wa kuchanja (vaccination) HURUHUSIWI KUINGIA HUKO. Kwa kuwa wizara yetu ya Afya ni huru, Waruhusu kuingiza chanjo ya corona COVID 19 huku visiwani na yule anayetaka, achanje ili tuweze kwenda kufanya hizi ibada Takatifu kwetu.

Tunaomba utafakari.
Akhuy
Ni bora ungekaa kimya katika hili,ni bora sana
Uislam ni Dini nyepesi,hautoifanya Dini yako kuwa ngumu,ila itakushinda......
Chanjo,bado ni kitendawili kwetu,mpaka sasa Dunia haijatulia kuhusu chanjo
Subra muhimu
بارك الله فيك
 
Rais Ali H. Mwinyi kama unavyojua Zanzibar ni nchi ndani ya Muungano wa Tanzania lakini kwenye masuala ya afya kila upande una wizara yake. Sasa kwa kuwa wakazi wengi (Majority) yao tunaoishi Zanzibar na Pemba ni Waislamu na huu ni Mwezi Mtukufu Wa Ramadhan.

Ombi letu kwako ni kuwa Wazinzibari wengi huwa wanaenda Mji Wetu Mtakatifu Wa Makkah kwa ibada Ya Umraa. Baada ya miezi 3 ni Hijja, yaani mwenye uwezo anasafiri kwenda kuhiji. Na ni Nguzo ya 5 katika Uislamu.

Sasa ombi lenyewe ni kuwa kwa sasa nchi yoyote isiyokuwa na utaratibu wa kuchanja (vaccination) HURUHUSIWI KUINGIA HUKO. Kwa kuwa wizara yetu ya Afya ni huru, Waruhusu kuingiza chanjo ya corona COVID 19 huku visiwani na yule anayetaka, achanje ili tuweze kwenda kufanya hizi ibada Takatifu kwetu.

Tunaomba utafakari.

Zanzibar sio nchi.
 
mzee kweli mtu wa dini alipasahau Chato panaitwaje,ila Makka apajasahau,Ombi lake lina mashiko lakini kwa mtazamo wangu Muungano hapo hauwezi ruhusu ndugu wengine wachanjwe wengine waachwe Kama kunyolewa basi hadi bara nasi tunyolewe haifai kuidai haki Fulani kwa ukanda
 
Chanjo ingekuja kwa anayetaka akachanje kwa pesa yake, nadhani ingekua bora, tusilazimishane wala tusiikatae.
 
Kama siyo nchi. Kwanini ukinunua bidhaa Zanzibar, ukifika Tanganyika unatozwa ushuru tena?
Zanzibar ni nchi kama nchi nyingine ila ukiangalia kwa papara bila kufikiria utasema siyo nchi
Zanzibar sio nchi.
 
Zanzibar sio nchi.
Wewe huelewi historia wala hujui hiki ni kipi na kile ni kipi.Zanzibar ni nchi ndani ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.Ina Rais na Manaibu Wake 2,Bendera,Wimbo wa Taifa wake,Baraza la wawakilishi(House of Represantatives)n.k isitoshe inao Mawaziri wa Wizara zote ISIPOKUWA NNE,nazo ni Ulinzi,Usalama,Mambo ya Ndani,Mambo ya Nje.Ndio maana angalia itifaki inavyoaafiki nilichosema,MFANO wakati wa sherehe za mapinduzi matukufu,anayeingia Kabla ya Mh Rais wa Zanzibar ni Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano.Hapo utapata jibu.#Salaam za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi inaendelea.
 
Wewe huelewi historia wala hujui hiki ni kipi na kile ni kipi.Zanzibar ni nchi ndani ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.Ina Rais na Manaibu Wake 2,Bendera,Wimbo wa Taifa wake,Baraza la wawakilishi(House of Represantatives)n.k isitoshe inao Mawaziri wa Wizara zote ISIPOKUWA NNE,nazo ni Ulinzi,Usalama,Mambo ya Ndani,Mambo ya Nje.Ndio maana angalia itifaki inavyoaafiki nilichosema,MFANO wakati wa sherehe za mapinduzi matukufu,anayeingia Kabla ya Mh Rais wa Zanzibar ni Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano.Hapo utapata jibu.#Salaam za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #Kazi inaendelea.
hiyo bosheni tu
 
Guys kwenye hili tusifanye kwa sababu za kisiasa hizo chanjo bado ziko complicated maana wenyewe mara wasitishe mara side effect yake damu igande tutulie maana kwetu hatukupata athari kubwa na huo ugonjwa tushukuru mungu hiyo hija japo ipo katika nguzo za uislamu tumuombe mungu tu hapa hapa atakusikia maana yeye anajua kabla ya kuzaliwa kwako mpaka kufa kwako tuachanane na haya maswala tusipush sababu ya chuki zetu na tamaa tu ya kutimiza kitu
 
Back
Top Bottom