Rais na DPP ni matarajio ya wengi kuwa Mbowe atafikishwa Mahakamani au kuachiwa huru

Rais na DPP ni matarajio ya wengi kuwa Mbowe atafikishwa Mahakamani au kuachiwa huru

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Mh Rais mashitaka dhidi ya Mbowe na wenzake yanashitusha sana watu wengi na hata wale ambao kwa vyovyote si mashabiki wa Mbowe au CHADEMA na ni mashitaka ya juu sana mtu kutuhumiwa nayo hasa mtu wa karba ya Mbowe kwa hiyo matarajio yetu ni kuwa serikali na DPP walishajipanga kumpeleka Mh Mbowe Mahakamani kesho jumatatu.

Na litakuwa jambo la busara sana kama mtamuachia huru Mbowe kama mtashindwa kumpeleka kesho Mahakamani ili mkajipange upya.

Mh Rais lazima utambue tuhuma dhidi ya Mbowe ni tuhuma hatari sana ambazo Serikali itapaswa kuthibitisha pasi na shaka au kesho aachiwe huru.

Kuendelea kumshikilia Mbowe kutaendelea kuthibitisha kuwa kuna shida nyingine kwa DPP na Jeshi la Polisi.

Mh Rais na DPP mnapaswa kuionesha dunia kuwa mnatenda haki kwa kumpeleka Mbowe Mahakamani kesho au kumuachia huru.

Waslaaam
 
Sio rahisi hivyo kwa upande wa mlalamikaji,wamesema walikuwa wanamtafuta na yeye alijua wanamtafuta akaenda kujificha mwanza kupitia kongamano la katiba.
 
Sio rahisi hivyo kwa upande wa mlalamikaji,wamesema walikuwa wanamtafuta na yeye alijua wanamtafuta akaenda kujificha mwanza kupitia kongamano la katiba.
basi wamfikishe mahakamani kabisa
 
Jamani tuondokane na mfumo CCM ni hatari kwa nchi hii.
 
Msimamo wetu sisi wanachama na vio gozi wa Chama ni kwamba hatutatoa ushirikiano wowote kwa polisi na Mahakama. Sababu kubwa ni kwamba hii kesi ni ya kijinga.
 
Msimamo wetu sisi wanachama na vio gozi wa Chama ni kwamba hatutatoa ushirikiano wowote kwa polisi na Mahakama. Sababu kubwa ni kwamba hii kesi ni ya kijinga.
Tutstoa kwa twitter toka belgium tutasidiwa na fatmakarume toka picadilly
 
Gaidi Mbowe tayari amefikishwa mahakamani na sasa yupo Segerea anapata wasaa wa kuhesabu kunguni wanaosabahi kila dakika, mpo makamanda?
 
What next.....atafungwa,ahadi ikifika atakufa halafu atazikwa.
Hakuna kiumbe chochote kitakachobaki juu ya mgongo wa huu ulimwengu na huko tuendako tutahesabiwa.Hakuna asiyejuwa hilo.
 
Back
Top Bottom