Rais nakuomba umteue Joseph Kasheku Msukuma awe Waziri

KWA maoni yangu nadhani musukuma anafaa na Ana uwezo mkubwa wa kuwa waziri. Pale wizarani Kuna makatibu wakuu ambao ni watendaji wakuu wa hizo wizara na pia Kuna wataalam wa wizara pia. Yule musukuma pamoja na la saba yake Ana confidence, na Ana uwezo wa kujenga na kusimamia hoja. Wapo wasomi wengi na wameshindwa kudeliver tulivyotarajia.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Haya Profesa, katika hizo methods zako tatu za justification ya Msukuma kuwa Waziri ili nae aokotwe jalalani, yeye una muweka kwenye category gani?
Najua neno jalala ndilo linakutaabishaka sababu umekariri maana moja. Maana nyingine ni eneo, mahali au sehemu yenye wingi ama utajiri wa almost kila kitu. Ndiyo maana jalala ulilozoea huwa na rutuba tele. Jalala usilolijua pia lina rutuba maridhawa ya maarifa, utajiri, elimu na maadili.
 
Utawala huu kweli ni wa hovyo yaani hata uwaziri umekua cheo cha hovyo hovyo,watu wamesahau ndo cheo kinachosimamia sera zote za maendeleo kwa nchi yetu.
 
Abaki kuwa Mbunge ili aendelee kulijenga taifa kwa uhuru zaidi; akiwa waziri mishughuliko inamwelemea.
Huyu akiwa WAZIRI inabidi naibu na katibu mkuu Wa hiyo wizara wafanye kazi ya ziada.
Acheni kudharau elimu.sio kwamba hao mawaziri waliopo sasa hivi wameshindwa kazi hapana,tatizo ni mfumo Wa utawala Wa chama cha ccm.
 
Elimu ya ngumbaru siku hizi inapigiwa chapuo? basi mpeni na babu yangu uwaziri maana yuko front-line kuhimiza maendeleo pale kijijini na juzi tu hapa aliitisha kampeni ya kuwakamata wachawi wote wanaosumbua pale kijijini.
 
Elimu ya ngumbaru siku hizi inapigiwa chapuo? basi mpeni na babu yangu uwaziri maana yuko front-line kuhimiza maendeleo pale kijijini na juzi tu hapa aliitisha kampeni ya kuwakamata wachawi wote wanaosumbua pale kijijini.
Anafaa sana huyo
 
Huyu akiwa WAZIRI inabidi naibu na katibu mkuu Wa hiyo wizara wafanye kazi ya ziada.
Acheni kudharau elimu.sio kwamba hao mawaziri waliopo sasa hivi wameshindwa kazi hapana,tatizo ni mfumo Wa utawala Wa chama cha ccm.
Waza tumia akili kidogo
 
Kwa ni shule hazimhusu raisi ni waziri tu? Kwa ni raising hawezi kufanya chochote? Mbona huwa anabadili mafumizi ya pesa na kupeleka ktk Barbara kwani hawezi kuzipeleka zijenge madarasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…