Rais naomba pipi...

Rais naomba pipi...

chukua pipi ila mie nina fungu langu kwenye mradi flani
 
Anajiexpress himself jinsi alivyo fundi sanaa hadi kwa under ages.kazi tunayo kidogo sasa?
 
Asante kwa pipi raisi haiishi utamu hii pipi yako kila ninavyoila haiishi utamu
 
Weeh! kwa hiyo huwa anatembea nazo kibao humo kwenye gari, kila akipita anagawa. Sasa katoto kama haka miaka 16 ijayo uje ukaambie CCM imechakachua maendeleo yake sijui katakuonaje..!? mchawi tu...
 
Back
Top Bottom