Rais ndiye anajua kwa usahihi miradi itaisha lini na kiwango cha uchumi wa taifa letu

Rais ndiye anajua kwa usahihi miradi itaisha lini na kiwango cha uchumi wa taifa letu

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Rais ndiye anatafuta pesa zote za miradi na kujenga uchumi wetu.

Hivyo ni yeye ndiye anajua kwa undani zaidi ukamilikaji wa miradi na level ya uchumi wa taifa letu.

Tuwe makini kumsikiliza Rais wetu anapohutubia.
 
Rais ndiye anatafuta pesa zote za miradi na kujenga uchumi wetu.

Hivyo ni yeye ndiye anajua kwa undani zaidi ukamilikaji wa miradi na level ya uchumi wa taifa letu.

Tuwe makini kumsikiliza Rais wetu anapohutubia.

Ni kweli, kwenye nchi ya watu wajinga, wapambe wa rais ndio huaminisha watu hivyo.
 
Back
Top Bottom