Rais okoa Shule ya Msingi Mpakani iliyopo chini ya nyaya za umeme mkali

Rais okoa Shule ya Msingi Mpakani iliyopo chini ya nyaya za umeme mkali

Joined
Jul 3, 2020
Posts
29
Reaction score
63
Zaidi ya miaka 40 shule hii ya msingi Mpakani iliyopo kata ya Mabibo mkoa wa Dar es Salaam kujengwa chini ya nyaya za umeme mkubwa wa gridi ya Taifa hali inayohatarisha maisha ya wanafunzi, maana nyaya ikikatika lazima maafa makubwa yatokee

Simu za nyuma Tanesco walivunja nyumba zilizopo ndani ya mita 30 ndani ya eneo la TANESCO na kuiacha shule

Inasemekana enzi za mbunge wa Kinondoni shule hii ilitengewa eneo maeneo ya Garments karibu na Chuo cha Usafirishaji Mabibo, hata hivyo eneo hilo limeuzwa na wajanja waliokuwa na madaraka kwa mtu binafsi.

Shule hii ni miongoni mwa shule nyingi zilizojengwa enzi za mbunge wa Kinondoni katika utawala wa Nyerere. Mbunge huyo alikuwa anaitwa Bryson.

Hivyo kupitia waziri wa Ardhi namuomba Mhe. Rais afuatilie maeneo yote ya serikali yaliyouzwa kwa watu na viongozi wasio waaminifu.

Tunajua Mhe. Rais were ni mfuatiliaji na kiongozi makini, tunu ya Taifa. Jambo hili naamini utalishughulikia kabla ya kuapishwa kwa Mara ya pili kuongoza Taifa letu.
 
Hauna picha ya hiyo high voltage under the school roofs?
 
Mh Rais usifute hizi shule, madhara ya Kansa, na magonjwa mengine ya muda mrefu yakiwapata si wamejitakia?
Watoto wetu wapo IST, HOPAC na ST MARYS , nyie pambanneni na hali zeu, fyatueni mkajaze watoto hizo shule.
 
Zaidi ya miaka 40 shule hii ya msingi Mpakani iliyopo kata ya Mabibo mkoa wa Dar es Salaam kujengwa chini ya nyaya za umeme mkubwa wa gridi ya Taifa hali inayohatarisha maisha ya wanafunzi, maana nyaya ikikatika lazima maafa makubwa yatokee

Simu za nyuma Tanesco walivunja nyumba zilizopo ndani ya mita 30 ndani ya eneo la TANESCO na kuiacha shule

Inasemekana enzi za mbunge wa Kinondoni shule hii ilitengewa eneo maeneo ya Garments karibu na Chuo cha Usafirishaji Mabibo, hata hivyo eneo hilo limeuzwa na wajanja waliokuwa na madaraka kwa mtu binafsi.

Shule hii ni miongoni mwa shule nyingi zilizojengwa enzi za mbunge wa Kinondoni katika utawala wa Nyerere. Mbunge huyo alikuwa anaitwa Bryson.

Hivyo kupitia waziri wa Ardhi namuomba Mhe. Rais afuatilie maeneo yote ya serikali yaliyouzwa kwa watu na viongozi wasio waaminifu.

Tunajua Mhe. Rais were ni mfuatiliaji na kiongozi makini, tunu ya Taifa. Jambo hili naamini utalishughulikia kabla ya kuapishwa kwa Mara ya pili kuongoza Taifa letu.
Sio kila Jambo ni kazi ya Rais, muulize Makonda kama analijua. Ana muda wa kuita press kwa vijimambo kama ugomvi wa wanandoa, kwa hili Tanesco mkoa lilipo atawakomalia.
 
Kuna meter zinazotakiwa watu wakae nazo mbali haswa inapopita high tension, Transmission voltage kuanzia 66 tungeona picha ya hiyo line tungejua Ina ukubwa gani Yani voltage na tuka recommend mkae nayo mita ngapi pande zote ili likitokea la kutokea muwe safe, Ni hatari sana High voltage mana licha ya kuwa na sensitive breakers ila huo mzigo ukishuka lazima ufanye maafa
 
Back
Top Bottom