whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
- Thread starter
- #21
Dunia inaenda kurudi kwenye order
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Russia Federation....ICC kazi kwao kumkamata, yupo Ukraine anavinjari mitaa ya mauripol
View attachment 2557853
===
Rais wa Urusi Vladimir Putin na Rais pendwa duniani ama mwamba wa dunia jana amefanya ziara ya kushtukiza katika rasi ya Crimea katika kuadhimisha miaka tisa tangu alipoinyakua kutoka Ukraine
Putin aliutembelea pia mji wa Ukraine wa Mariupol unaokaliwa kimabavu huku Mahakama ya wazungu wa ulaya magharibi wakibaki midomo wazi wasijue cha kumfanya.
Ziara ya Putin inajiri siku chache baada ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC kutoa waranti wa kukamatwa kwake kwa uhalifu wa kivita, ikimtuhumu kwa uwajibikaji katika utekaji nyara wa watoto nchini Ukraine.
Moscow imetupilia mbali uamuzi wa Mahakama hiyo. Kyiv inasema tangu kuanza kwa uvamizi huo Februari 2022, zaidi ya watoto 16,000 wa Ukraine walihamishwa kinyume cha sheria kuelekea Urusi. Wakati huo huo, mapigano makali yanaendelea huko Donetsk hasa katika mji wa Bakhmut.
Kuna vitu western media hawatakaa wakuoneshe. Nimeangalia hii video mpaka nikafarijika!!
Kweli hawa wananchi walionewa na utawala dhalimu wa Ukraine. Putin kawaokoa.
Link:
Uko sahihi jamaa anaendeshaga mwenyeweKama nitakuwa nimeona vizuri Putin ndio ana drive hiyo gari?
Hapo hafanyi siasa, anatembelea eneo lililo kombolewa kutoka utawala dhalimu.Watu wananunuliwa. Siasa mchezo mchafu.
Kuna kitu kinaitwa utu. Nnapoona binadamu mwenzangu ameokolewa kutoka kwenye udhalimu na wauaji lazima nifarijike. Pia nnapoona binadamu mwenzangu anaonewa kama jinsi ccm inavyotesa watanzania lazima nisikitike.Wewe unafarijika na mambo ya putin wakati sisi CCM tunakutendea makubwa hufarijiki.Au ndio ukoloni mamboleo,kila kitu wanachofanya wazungu wa urusi unafarijika.
Mshaanza Propoganda, eti hakuwa Putin kwahio yule ni Zelensky 🤣🤣🤣Hakuwa Putin kilikuwa kinyago cha Putin na wenye Intelligence zao wamesha sema. Hakuwa Putin
wakikujibu niambie 😄😄😄Mshaanza Propoganda, eti hakuwa Putin kwahio yule ni Zelensky 🤣🤣🤣
Mkuu unasoma darasa la ngapi?Hii vita iishe kwa kweli wakae mezazi people will die there is no end. .
Watu siku hizi wanajenga madaraja infekuwa poa kama nchi zikiingana ubonafsi mbaya sana wangeunganisha tu Russia na Ukraine.
Kuna kitu kinaitwa utu. Nnapoona binadamu mwenzangu ameokolewa kutoka kwenye udhalimu na wauaji lazima nifarijike. Pia nnapoona binadamu mwenzangu anaonewa kama jinsi ccm inavyotesa watanzania lazima nisikitike.
Basi ulikua ww [emoji16][emoji16][emoji16]Hakuwa Putin kilikuwa kinyago cha Putin na wenye Intelligence zao wamesha sema. Hakuwa Putin
Wameshikwa na kwikwi,mamba king is mtaani na usukani mkononiMshaanza Propoganda, eti hakuwa Putin kwahio yule ni Zelensky [emoji1787][emoji1787][emoji1787]