Rais Putin afanya ziara ya kushtukiza Mariupol Ukraine na Crimea

Russia Federation....
 
Kuna vitu western media hawatakaa wakuoneshe. Nimeangalia hii video mpaka nikafarijika!!

Kweli hawa wananchi walionewa na utawala dhalimu wa Ukraine. Putin kawaokoa.

Link:
 
Kuna vitu western media hawatakaa wakuoneshe. Nimeangalia hii video mpaka nikafarijika!!

Kweli hawa wananchi walionewa na utawala dhalimu wa Ukraine. Putin kawaokoa.

Link:
Wewe unafarijika na mambo ya putin wakati sisi CCM tunakutendea makubwa hufarijiki.Au ndio ukoloni mamboleo,kila kitu wanachofanya wazungu wa urusi unafarijika.
 
Wewe unafarijika na mambo ya putin wakati sisi CCM tunakutendea makubwa hufarijiki.Au ndio ukoloni mamboleo,kila kitu wanachofanya wazungu wa urusi unafarijika.
Kuna kitu kinaitwa utu. Nnapoona binadamu mwenzangu ameokolewa kutoka kwenye udhalimu na wauaji lazima nifarijike. Pia nnapoona binadamu mwenzangu anaonewa kama jinsi ccm inavyotesa watanzania lazima nisikitike.
 
Kwahiyo KGB na Putin hawaui watu Ukraine msomi???
Kuna kitu kinaitwa utu. Nnapoona binadamu mwenzangu ameokolewa kutoka kwenye udhalimu na wauaji lazima nifarijike. Pia nnapoona binadamu mwenzangu anaonewa kama jinsi ccm inavyotesa watanzania lazima nisikitike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…