Rais Putin akataa pendekezo la Rais mteule Donald Trump la kusitisha Vita na kuipa Ukraine uanachama wa NATO baada ya miaka 20 ijayo

Rais Putin akataa pendekezo la Rais mteule Donald Trump la kusitisha Vita na kuipa Ukraine uanachama wa NATO baada ya miaka 20 ijayo

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Rais Putin wa Russia amekataa pendekezo lilitolewa na Rais mteule wa marekani Bwana Donald Trump la kumtaka kusitisha mapigano kati yake na Ukraine na badala yake kuwepo na muda wa miaka 20 baadae ili Ukraine iweze kujiunga na Umoja wa za NATO.

Sambamba na hilo Bwana Trump alipemdekeza pia kuwepo kwa vikosi vya kijeshi nchini Ukraine kwa kipindi chote hicho na kwa sasa vita hivyo visitishwe.

Rais Putin amesisitiza msimamo wake kuwa Ukraine haruhusiwi kujiunga na NATO hata ingekua miaka 1000 ijayo na akaeleza kwamba Urusi itaendelea kuyashikilia maeneo yote ya donbase ambayo raia wake wanaozungumza lugha ya kirusi walikua wakinyanyasika.

Naona Trump kagonga mwamba.
================
Russia rejects Trump's proposal to postpone Ukraine's NATO membership for 20 years in exchange for a ceasefire.
 

Attachments

  • Screenshot_20241229-195442.png
    Screenshot_20241229-195442.png
    679.1 KB · Views: 7
Trump anakuja kuendeleza vita kama mtangulizi wake, wapumbavu wanakwambia eti hao ni mabest, yani trump au Putin anaweza kuthamini urafiki zaidi kuliko maslahi ya nchi yake!
 
Trump anakuja kuendeleza vita kama mtangulizi wake, wapumbavu wanakwambia eti hao ni mabest, yani trump au Putin anaweza kuthamini urafiki zaidi kuliko maslahi ya nchi yake!
Hayo maslahi wakayatafute kwengine siyo Ukraine. Putin kashasema marufuku Ukraine kujiunga na NATO na maeneo ambayo yameshachukuliwa na Urusi ni maeneo ya nchi ya Urusi hakitabadilika kitu.
 
Trump anakuja kuendeleza vita kama mtangulizi wake, wapumbavu wanakwambia eti hao ni mabest, yani trump au Putin anaweza kuthamini urafiki zaidi kuliko maslahi ya nchi yake!
Tayari kaongea vingine
 
Kazi kazi vita sio sherehe dam za watu zimeshamwagika pale
 
Rais Putin wa Russia amekataa pendekezo lilitolewa na Rais mteule wa marekani Bwana Donald Trump la kumtaka kusitisha mapigano kati yake na Ukraine na badala yake kuwepo na muda wa miaka 20 baadae ili Ukraine iweze kujiunga na Umoja wa za NATO.

Sambamba na hilo Bwana Trump alipemdekeza pia kuwepo kwa vikosi vya kijeshi nchini Ukraine kwa kipindi chote hicho na kwa sasa vita hivyo visitishwe.

Rais Putin amesisitiza msimamo wake kuwa Ukraine haruhusiwi kujiunga na NATO hata ingekua miaka 1000 ijayo na akaeleza kwamba Urusi itaendelea kuyashikilia maeneo yote ya donbase ambayo raia wake wanaozungumza lugha ya kirusi walikua wakinyanyasika.

Naona Trump kagonga mwamba.
================
Russia rejects Trump's proposal to postpone Ukraine's NATO membership for 20 years in exchange for a ceasefire.

Kama ningekuwa karibu na Putin, ningemthibitishia...it will happen hakuna namna.
Lenin alifanya sehemu yake. Ila hakuwa na nguvu za kuzuia chochote kitakachotokea baada ya yeye kufa. Alichoanzisha kimekufa na nina hakika hata kama kikirudi, hakitakuwa sawa na alichounda.
Hata Putin....asiusemee moyo. He will be disappointed in his grave 😔 😪 8
 
Back
Top Bottom