Rais Putin amekosea hatua?

Wewe kaa subiria uone madhara ya Russia kudefault,ndani ya siku chache kutoka sasa walionunua dollars denominated bonds za mrusi ambao wengi ni mabengi na taasisi za ulaya wataanza kufeel the heat
 

Watu kama hawa sio wakuwajibu unawaacha tu waandike wanachojisikia
 
kwanini uamini IRAN anaweza akakubali nasio kukataaa
mtasema vyote ila PUTIN anapeleka tu moto
kila leo mnamsumbua PUTIN kwavisimu vyenu UCHWARA
acha iendelee kunyesha ili tuone wapi panavuja
 
Kwa mwendo huu wanaoelekea Europe na Marekani, na jinsi Urusi inavyo sua sua katika diplomasia, na kuzua propaganda za silaha za sumu ,
Naona kama Putin anazidi kuchemsha.\
Mwisho wa Russia unakaribia ,asipo fanya Busara na kukubali matokeo yaKuivamia Yukrain ki Upumbavu
 
Kila mtu anaandika anavyojua
Worse enough wapo nyuma ya keyboard! Siasa na mahusaiano wanayojua ni kati ya CCM Na CDM hata mahusaiano ya kimataifa ktk Jumuiya ya Afrika Mashariki hawana habari nayo, Leo wanaandika mambo ya mbali. Eastern Europe! Kweli? Miluzi tu humu, no contents!
 
endelea kusikitika wakati wenzako wanapata mkong'oto walioukimbilia kwa mikono miwili huku Russia ikiendelea na maisha ya kawaida ya kila siku
 
Kwa akili hizi kweli hata ukibakia peke yako duniani huwezi kuwa superpower.
 
Putin as his name is gone... Take from me.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…