Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urusi na China ndio asili ya udikteta Africa na ndio uwapa kiburi madikteta wetuWamewekeana mkataba na Mungu?
Watu hawajui ni nini maana ya haki?Subutuu. Ujinga huo wanatufanyia sisi tu huku walalahoi, hupo hutowasikia U.S.A wala washirika wake wote.
Ndo ujue marekani hapiganii democracy yoyote yeye yupo ki masilahi zaidi na hua anatafuta umaarufu tu na ubabe wa ovyo kwenye ndogo.
Hapa nasubiri nione je wanaharakati wa Russua wataenda kwenye International forums kudai haki Kama kina Zitto.
Urus nayo ilitakiwa iwe Africa tu..maana kuna mambo ya kipuuzi sana huko kama yanayofanywa na nchi za Africa.
Putin akae tu hata milele hakuna shida [emoji4][emoji4][emoji4]
Ila anachofeli huyu mwamba nikutokuandaa taasisi imara ambazo zitaweza kuiendesha russia bila ya PUTIN
Ijapokua kwasasa kuna RUSSIA Imara Chini ya PUTIN
Hitimisho Akaetu Hata Milele Atolewe Madarakani Nakifo tu Hakuna Shida Kwaupande Wangu Lakini...[emoji4][emoji5]
Sent using Jamii Forums mobile app