Rais Ruto aagiza Mchungaji Mackenzie ashtakiwe, asema ni gaidi

Rais Ruto aagiza Mchungaji Mackenzie ashtakiwe, asema ni gaidi

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Rais William Ruto ametoa wito wa kushtakiwa kwa Mchungaji #PaulMackenzie kuhusiana na vifo zaidi ya 40 vya wafuasi wake ambao aliwaagiza kufunga kula hadi kufa na miili yao kugunduliwa ilizikwa katika #ShakaholaForest huko #Kilifi

Akizungumza wakati wa Gwaride la Maafisa Magereza Aprili 24, amesema kuwa Mchungaji huyo alikuwa gaidi aliyewaamuru Wakenya kufanya vitendo vilivyo kinyume na kanuni za Katiba

Amesema, "Tunachokiona Kilifi, Shakahola, ni sawa na ugaidi. Hakuna tofauti kati ya Bw. Mackenzie anayejifanya mchungaji na hali ni mhalifu wa kutisha. Magaidi hutumia dini kuendeleza vitendo vyao viovu"

Pia amemeagiza ofisi ya #DCIKenya kuchunguza Wachungaji wanaotumia Dini kufanya vitendo viovu na kuwachukulia hatua ikiwemo kufungia Makanisa yao

.........

President William Ruto called for the prosecution of Pastor Paul Mackenzie over the deaths of several of his followers whose bodies were discovered buried at Shakahola Forest in Kilifi.

Speaking during the Prison Officers Pass Out Parade on Monday, April 24, the Head of State likened the pastor to a terrorist for ordering Kenyans to do acts contrary to the tenets of the Constitution.

Ruto further condemned religious groups that asked Kenyans to refrain from going to the hospital when sick or prohibited children from going to school.

"Look out for those who want to abuse even the religious sector by masquerading as religious people yet what they do is contrary to the teachings and to the beliefs of the religion whether they are Christians, Muslims or any other religion.

"What we are seeing in Kilifi, Shakahola, is akin to terrorism. There is no difference between Mr Mackenzie who pretends and postures as a pastor when in fact he is a terrible criminal. Terrorists use religion to advance their heinous acts. People like Mr Mackenzie are using religion to do exactly the same thing," he stated.

The President, therefore, directed security agencies, including the Directorate of Criminal Investigations (DCI), to carry out thorough investigations against pastors abusing their place in religion to commit heinous acts.

Source: Kenyans.co.Ke
 
Rais William Ruto ametoa wito wa kushtakiwa kwa Mchungaji #PaulMackenzie kuhusiana na vifo zaidi ya 40 vya wafuasi wake ambao aliwaagiza kufunga kula hadi kufa na miili yao kugunduliwa ilizikwa katika #ShakaholaForest huko #Kilifi

Akizungumza wakati wa Gwaride la Maafisa Magereza Aprili 24, amesema kuwa Mchungaji huyo alikuwa gaidi aliyewaamuru Wakenya kufanya vitendo vilivyo kinyume na kanuni za Katiba

Amesema, "Tunachokiona Kilifi, Shakahola, ni sawa na ugaidi. Hakuna tofauti kati ya Bw. Mackenzie anayejifanya mchungaji na hali ni mhalifu wa kutisha. Magaidi hutumia dini kuendeleza vitendo vyao viovu"

Pia amemeagiza ofisi ya #DCIKenya kuchunguza Wachungaji wanaotumia Dini kufanya vitendo viovu na kuwachukulia hatua ikiwemo kufungia Makanisa yao


.........

President William Ruto called for the prosecution of Pastor Paul Mackenzie over the deaths of several of his followers whose bodies were discovered buried at Shakahola Forest in Kilifi.

Speaking during the Prison Officers Pass Out Parade on Monday, April 24, the Head of State likened the pastor to a terrorist for ordering Kenyans to do acts contrary to the tenets of the Constitution.

Ruto further condemned religious groups that asked Kenyans to refrain from going to the hospital when sick or prohibited children from going to school.

"Look out for those who want to abuse even the religious sector by masquerading as religious people yet what they do is contrary to the teachings and to the beliefs of the religion whether they are Christians, Muslims or any other religion.

"What we are seeing in Kilifi, Shakahola, is akin to terrorism. There is no difference between Mr Mackenzie who pretends and postures as a pastor when in fact he is a terrible criminal. Terrorists use religion to advance their heinous acts. People like Mr Mackenzie are using religion to do exactly the same thing," he stated.

The President, therefore, directed security agencies, including the Directorate of Criminal Investigations (DCI), to carry out thorough investigations against pastors abusing their place in religion to commit heinous acts.

Source: Kenyans.co.Ke
Safi kabisa, IWE Mfano Kwa matapeli wengine
 
Kabla ya kufa naye afanyiwe kitu "mbaya" ngese sana huyo mchungaji feki.

Wakenya nao sijui wana shida wajameni?
Wanamuamini popoma kama huyo?
 
Ruto mwenyewe amekuwa akikaribisha viongozi wa cults mbalimbali Ikulu.
 
Wazungu walipojua kuwaweza wa Africa ni kuwaletea Dini ya Kikristo, yaan wamewapumbazaaa kila fyuzi ya ubongoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipoo mbna. Lol
 
Wazungu walipojua kuwaweza wa Africa ni kuwaletea Dini ya Kikristo, yaan wamewapumbazaaa kila fyuzi ya ubongoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipoo mbna. Lol

Ni vurugu mara wengine wakanyage mafuta, mara wengine wanaambiwa wapeleke kucha na nywele za sehemu za siri waombewe yaani kila mmoja na lake na wengine mara sadaka za kujimaliza kabisa, hata haieleweki Mungu anataka nini na hataki nini
 
Wazungu walipojua kuwaweza wa Africa ni kuwaletea Dini ya Kikristo, yaan wamewapumbazaaa kila fyuzi ya ubongoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipoo mbna. Lol
Na vp waliowaletea nyie ushoga wa mwanaume kupumuliwa kisogoni kwa mwanaume mwenzio na KY gel ya kupakaa wanawagawia? Mim mwanaume mwenzangu sijui huwa namuona ananukaje ila wew unadiriki kumvulia nguo na kunyonya ukuni dah 😭😭😭
 
Rais William Ruto wa Kenya, amemtangaza Mchungaji Paul Mackenzie Nthenge wa kanisa la Good News International Ministry kuwa GAIDI na kutaka ashtakiwe kwa makosa ya Ugaidi. Ruto amesema tuhuma zinazomkabili Mchungaji huyo zinaangukia kwenye sheria ya kuzuia ugaidi no.30 ya mwaka 2012 (Prevention of Terrorism Act, 2012).

Mackenzie anatuhumiwa kuwalazimisha waumini wake kufunga hadi kufa (Fasting to death) ili wapate ticket ya kuonana na Yesu ana kwa ana mbinguni. Mpaka sasa maiti 98 zimefukuliwa katika msitu wa Shakahola kaunti ya Kilifi, ambapo Mchungaji huyo anamiliki eneo lenye ukubwa wa ekari 800.

Baadhi ya maiti zimekutwa bila viungo, huku waumini waliookolewa hai, wakikataa kula na wengine wakakitaa kuondoka eneo hilo hadi walipoondolewa kwa nguvu na vyombo vya dola. Mchungaji Mackenzie anashikiliwa kwa upelelezi kabla ya kupandishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili.

View attachment 2601474View attachment 2601475

FB_IMG_1682450507483.jpg
 
mtawatambua kwa matendo yao
mtu anayefundisha kuwa sheria ziligongomelewa msalabani muogopeni kabisa mtu huyo
 
Huyo jamaa apewe adhabu ya kifo tu na Wala sio vinginevyo.
Au waniite Mimi niende nimpige mapanga Hadi akufe yule mpumbavu.
 
kuna uhakika gani kuwa wameenda mbinguni
Kwasababu waliambiwa kiimani kwamba wakifunga maisha wataenda mbinguni nao wakatii iman na kufunga basi kwa mujibu wa hiyo imani yao hao waliokufa wameenda mbinguni kama tunavyoambiwa kwa wacha mungu wote. Kwa maana hiyo hawa wameenda mbinguni so Mahakama inatakiwa ithibitishe kwamba hawajaenda mbinguni ndiyo imtie hatian huyu bwana
Hahaha
 
Back
Top Bottom