Rais Ruto aagiza Mchungaji Mackenzie ashtakiwe, asema ni gaidi

Rais Ruto aagiza Mchungaji Mackenzie ashtakiwe, asema ni gaidi

Rais William Ruto wa Kenya, amemtangaza Mchungaji Paul Mackenzie Nthenge wa kanisa la Good News International Ministry kuwa GAIDI na kutaka ashtakiwe kwa makosa ya Ugaidi. Ruto amesema tuhuma zinazomkabili Mchungaji huyo zinaangukia kwenye sheria ya kuzuia ugaidi no.30 ya mwaka 2012 (Prevention of Terrorism Act, 2012).

Mackenzie anatuhumiwa kuwalazimisha waumini wake kufunga hadi kufa (Fasting to death) ili wapate ticket ya kuonana na Yesu ana kwa ana mbinguni. Mpaka sasa maiti 98 zimefukuliwa katika msitu wa Shakahola kaunti ya Kilifi, ambapo Mchungaji huyo anamiliki eneo lenye ukubwa wa ekari 800.

Baadhi ya maiti zimekutwa bila viungo, huku waumini waliookolewa hai, wakikataa kula na wengine wakakitaa kuondoka eneo hilo hadi walipoondolewa kwa nguvu na vyombo vya dola. Mchungaji Mackenzie anashikiliwa kwa upelelezi kabla ya kupandishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili.!View attachment 2601474View attachment 2601475View attachment 2601476
Ni unafiki kwa mtu anayeamini dini moja kubwa na ya kale ya uongo kumsema mwingine anayeamini dini ndogo na mpya kuwa gaidi.

Hizi dini zote zinazohubiri Mungu mkali anayechoma watu moto ni dini za ugaidi.

By the very definition of ugaidi.
 
Huyo huko huko selo mnamalizana nae!,inatangazwa tu amekufa ghafra kwisha,maaana huwezi jua pengine kuna wapumbavu wanamuona Shuja huyo.
 
Rutto ana uhakika gani kwamba waliokufa hawajaenda mbinguni ??? Maana ndo ilikuwa ahadi/makubaliano yao. Hahaha
Na je Mchungaji naye anauwakika gan kwamba waliokufa wameenda mbinguni..[emoji23][emoji23][emoji23]ngomaa droo
 
Ni unafiki kwa mtu anayeamini dini moja kubwa na ya kale ya uongo kumsema mwingine anayeamini dini ndogo na mpya kuwa gaidi.

Hizi dini zote zinazohubiri Mungu mkali anayechoma watu moto ni dini za ugaidi.

By the very definition of ugaidi.
Mkuu hapo US ni saa ngapi sahivi ?
 
Tanzania nao wakae mguu pande
Hizi dini,manabii wanazidi kuwafanya
Watu wawe wendawazim

Ova
 
Wazungu walipojua kuwaweza wa Africa ni kuwaletea Dini ya Kikristo, yaan wamewapumbazaaa kila fyuzi ya ubongoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipoo mbna. Lol
Waarabu walituletea nini nao

Ova
 
Kwasababu waliambiwa kiimani kwamba wakifunga maisha wataenda mbinguni nao wakatii iman na kufunga basi kwa mujibu wa hiyo imani yao hao waliokufa wameenda mbinguni kama tunavyoambiwa kwa wacha mungu wote. Kwa maana hiyo hawa wameenda mbinguni so Mahakama inatakiwa ithibitishe kwamba hawajaenda mbinguni ndiyo imtie hatian huyu bwana
Hahaha
nalipenda kanisa Mungu, lazima kila kitu tunachoambiwa kitoke kwenye biblia, la sivyo hata uambiwe na kiongozi mkuu wa kanisa kufanya kitu chenye hakiko kwenye biblia, tunampinga wazi
tufuate maandiko
 
nalipenda kanisa Mungu, lazima kila kitu tunachoambiwa kitoke kwenye biblia, la sivyo hata uambiwe na kiongozi mkuu wa kanisa kufanya kitu chenye hakiko kwenye biblia, tunampinga wazi
tufuate maandiko
Mkuu mm nimetia ndimu tu kwenye mjadala kuchangamsha baraza huo siyo msimamo wangu kwenye jambo husika!
Hakika mm nachukizwa na huu utiritiri wa haya makanisa haswa ukizingatia wanaokamuliwa ni watu maskini
 
Back
Top Bottom