Rais Ruto afuata nyayo za hayati Magufuli

Mahindi hayo! Ukitoka hapo ni push-up na Kazi tuuu.

Ila wapo wale watakaokuja kusema ati sio mahindi ni chokochoko dhidi ya "private sector" Khaaa! ohhh tunasema Utumiaji wa nguvu na Dola.....wakati wewe unaona kabisa jamaa wanakula mahindi
 
Ruto ana akili hawezi. akafuata nyayo za mwizi wa kichina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…