Rais Ruto aje ajifunze tanzania penye peace and tranquility.

Rais Ruto aje ajifunze tanzania penye peace and tranquility.

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Namshauri mr president ajifunze mbinu za jpm za kuweka usalama.wa taifa mpaka kwenye dalaldala ukiisema serikali tu unakamatwa na unapotezwa mazima.na waliobaki wanaogopa.

Hata samia ajifunze mbinu za jpm ili hawa chadema wanaoshawishi maandamano wakimbie nchi tena watarudi baadae. Kama jpm aliwafurusha na hakunakilichotendeka
 
Ni GenZ wa Kenya ndio waje wajifunze kutoka CHADEMA jinsi ya kufanya Maandamano ya AMANI hata Nzi hadhuriki.

Maandamano yetu ni kama yale ya London na New York ya Kistaarabu.
 
Kenya kuna njaa na shida kushinda Tanzania.Njaa ikitubana vizuri Ikulu ni yetu tutaingia vizuri kuongea na Rais Dodoma ni mbali.
 
Usalama kuwekwa mpaka kwenye daladala ni mbinu inayotumika na madikteta wasiojiamini katika utawala wao.
 
Back
Top Bottom