Rais Ruto ameunga mkono utaratibu utakaotumika kupitisha Finance bill wa kura ya Wazi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Dunia ya sasa Kiongozi usipokuwa mtemi wahuni watakukwamisha tu

Ndio Shujaa Magufuli alimwambia Spika Ndugau mbunge mwenye kiherehere mshughulikie huko Bungeni na akitoka huku Nje atakutana na serikali

Rais Ruto ameunga mkono utaratibu utakaotumika kupitisha Finance bill wa kura ya Wazi kwa kila mbunge ili wale wanaopinga Wajulikane

Mtanikumbuka 😀😀

Mlale Unono!
 
Nimemsikia ila alisema kuhusu mswada mpya wa Kodi kutoka 3% hadi 5% ambayo wakenya wanaikataa

Ili nchi isonge mbele lazima ubabe utumike
USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Kwa Kenya na Katiba yao ilivyo Ruto hana Ubavu huo ! Ni mkwara tu !
 
Ni Dormant tu ndie ata support mentality kama hizi!!
 
Rutto ni Magufuli aliyezaliwa Kenya baada ya kufa na kuzikwa Tanzania. Watajuta kumchagua
 
Sasa kama lengo ni kupitisha kila raisi anachotaka na serikali yake kwa sababu anaamini kuwa ni sawa, sasa bunhe la kazi gani kama si kuchoma pesa bure. Si lifutwe tu, raisi na mawaziri wake wawe wanapanga na kutekeleza tu walichopanga kuliko maigizo ya kupiga kura na kuwalipa mishahara watu ambao unajua kabisa hawawezi pinga maana wakipinga utawashughulikia
 
Hajawahi kuwa shujaa
 
Hata sisi wananchi tumestuka,

Tutalazimisha KURA ya WAZI kumchagua DIWANI, MBUNGE na RAIS.

Hii itasaidia kuzuia kura za mifukoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…