Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,250
- 3,607
In Africa there is no Democracy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena !! Na ndio maana tunaamini kwa Kenya hicho kitu hakiwezi kufanyika huo ni mkwara tu !!Sasa kama lengo ni kupitisha kila raisi anachotaka na serikali yake kwa sababu anaamini kuwa ni sawa, sasa bunhe la kazi gani kama si kuchoma pesa bure. Si lifutwe tu, raisi na mawaziri wake wawe wanapanga na kutekeleza tu walichopanga kuliko maigizo ya kupiga kura na kuwalipa mishahara watu ambao unajua kabisa hawawezi pinga maana wakipinga utawashughulikia
Ipo ya kugegeresha tu ! Au ???! 😅In Africa there is no Democracy
Mkuu kwa maandishi haya bado hujapona. Mwenzake alishakufa Iko hivyo haitabadilika. Punguza huzuni uboresha afya yako ya akili.Hata kitaifa, ni wavuta bangi na washikishwa ukuta wachache hawamkubali na ni jambo la kawaida. Tatizo liko kwamba washikishwa ukuta wanataka kulazimisha hata wale tunaomkubali Magufuli tusimkubali.
Ni kweli alishakufa, kila mtu atakufa, Nyerere, Mandela na hata mtume Mohamed walishakufa lakini wanaendelea kuzungumzwa vizuri kwa sababu ya legacy walioiacha. Wewe utakufa na haluna atakaekuzungumzia so kifo sio hoja hapa.Mkuu kwa maandishi haya bado hujapona. Mwenzake alishakufa Iko hivyo haitabadilika. Punguza huzuni uboresha afya yako ya akili.
Ngoja tuone ni Kesho kutwa tu!Uyo Ruto anajidanganya tu watu watapinga adharani na hakuna kitu atakachofanya wakenya siyo wenzetu..
Gachagua hatakagi Ujinga!Pigo za Gachagua hizo, hanaga kulemba yule🤣