Rais Ruto ameunga mkono utaratibu utakaotumika kupitisha Finance bill wa kura ya Wazi

Umenena !! Na ndio maana tunaamini kwa Kenya hicho kitu hakiwezi kufanyika huo ni mkwara tu !!
 
Hata kitaifa, ni wavuta bangi na washikishwa ukuta wachache hawamkubali na ni jambo la kawaida. Tatizo liko kwamba washikishwa ukuta wanataka kulazimisha hata wale tunaomkubali Magufuli tusimkubali.
Mkuu kwa maandishi haya bado hujapona. Mwenzake alishakufa Iko hivyo haitabadilika. Punguza huzuni uboresha afya yako ya akili.
 
Mkuu kwa maandishi haya bado hujapona. Mwenzake alishakufa Iko hivyo haitabadilika. Punguza huzuni uboresha afya yako ya akili.
Ni kweli alishakufa, kila mtu atakufa, Nyerere, Mandela na hata mtume Mohamed walishakufa lakini wanaendelea kuzungumzwa vizuri kwa sababu ya legacy walioiacha. Wewe utakufa na haluna atakaekuzungumzia so kifo sio hoja hapa.
 
Uyo Ruto anajidanganya tu watu watapinga adharani na hakuna kitu atakachofanya wakenya siyo wenzetu..
 
Hivi alikua shujaa Kwa nani??Kwa Mungu,watanzania au wasukuma wenzie??Mungu fundi,alitusaidia wanyonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…