ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mbio za sakafuni huishia ukingoni.Huu ni msemo wa kuwakumbusha wale wanaojifanyaga ni wajanja sana na hawawahitaji wengine na huwabeza.
Bwana Ruto ambae ni Rais wa Kenya aliingia Kwa mbwembwe nyingi huku akimponda mtangulizi wake bwana Uhuru Kenyatta na kumghasi Kwa kutumia vyombo vya Dola.
Ila muda ni Mwalimu mzuri,umempa majibu bwana Ruto kwamba usiwadharau wakunga wa Kisiasa kabla hujazaa.
Haya Sasa unalazimika kwenda Kwa Uhuru kishingi upande Ili upate abc za kuingiza Nchi maana Kila unalofanya Wakenya wanalipinga na hawakutaki maana Yale ukiyowaaminisha yamekuwa kinyume chake.
View: https://www.instagram.com/p/DDXFHF_qrjd/?img_index=1&igsh=b2FvZTU0MHpsdTRw
My Take
Uwanja mwingi mbele Giza.
Bwana Ruto ambae ni Rais wa Kenya aliingia Kwa mbwembwe nyingi huku akimponda mtangulizi wake bwana Uhuru Kenyatta na kumghasi Kwa kutumia vyombo vya Dola.
Ila muda ni Mwalimu mzuri,umempa majibu bwana Ruto kwamba usiwadharau wakunga wa Kisiasa kabla hujazaa.
Haya Sasa unalazimika kwenda Kwa Uhuru kishingi upande Ili upate abc za kuingiza Nchi maana Kila unalofanya Wakenya wanalipinga na hawakutaki maana Yale ukiyowaaminisha yamekuwa kinyume chake.
View: https://www.instagram.com/p/DDXFHF_qrjd/?img_index=1&igsh=b2FvZTU0MHpsdTRw
My Take
Uwanja mwingi mbele Giza.