The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Trending news huko Kenya..
Kuna Tetesi kwamba Rais wa Kenya amewapiga Marufuku waliokuwa Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali Chini ya Serikali ya Kenyatta Kusafiri Nje ya Nchi mpaka kwa Kibali cha Rais.
Ikumbukwe Makamu wa Rais wa Kenya alitamka hadharani kwamba wamerithi Nchi iliyofilisika na yenye mzigo mkubwa wa Madeni..
Swali je Ruto atakuwa Magufuli wa Kenya na kufuata siasa kali za Utaifa? 👇
Kuna Tetesi kwamba Rais wa Kenya amewapiga Marufuku waliokuwa Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali Chini ya Serikali ya Kenyatta Kusafiri Nje ya Nchi mpaka kwa Kibali cha Rais.
Ikumbukwe Makamu wa Rais wa Kenya alitamka hadharani kwamba wamerithi Nchi iliyofilisika na yenye mzigo mkubwa wa Madeni..
Swali je Ruto atakuwa Magufuli wa Kenya na kufuata siasa kali za Utaifa? 👇