The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hana la kujiteteaNaibu wa Rais wa KENYA kwa miaka 10 iliyotamatika alikuwa nani vile??
Alikuwa personal assistant wa Retired President Uhuru KenyattaNaibu wa Rais wa KENYA kwa miaka 10 iliyotamatika alikuwa nani vile??
Hapana brother, Hustler hawezi zinguaHustler ameanza kuzingua
Hapana brother, Ruto NI Hustler tena mtoto WA mjini kweli kweliHajatoa sababu kwanini amefanya hivyo?
Kama ni kusevu pesa nitamuelewa, lakini kwanini afanye hivyo kwa hao waliokuwa awamu ya Kenyatta? kama hawaamini awapige chini ateue wa kwake.
Namuona Ruto anakaushamba fulani hivi.
Alikua makamu wa rais lakini cheo kisicho na meno mbela ya rais sawasawa tu na makamu wa rais mpango kazi yake inamipaka yakeNaibu wa Rais wa KENYA kwa miaka 10 iliyotamatika alikuwa nani vile??
Ondoa vimesemo vyako vya kijinga hapa.Analamba asali sasa...