Rais Ruto apiga Marufuku Kusafiri Nje ya Nchi bila kibali cha Rais

Safi sana nchi itapiga maendeleo zaidi tofauti na kule tanzania kila siku viongozi wao wanapishana angani tu na hakuna cha maana wanacholeta zaidi ya hasara tu
 
Huyu ataongoza kwa shida sana. Maana bungeni kafunikwa. Na bunge la Kenya sio kama lile la TRAB na TRAT Yayayayayaa
 
Anapita mule mule kwenye nyendo za CHUMA CHA PUA JOHN POMBE MAGUFULI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…