mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
Huyu ataongoza kwa shida sana. Maana bungeni kafunikwa. Na bunge la Kenya sio kama lile la TRAB na TRAT YayayayayaaTrending news huko Kenya..
Kuna Tetesi kwamba Rais wa Kenya amewapiga Marufuku waliokuwa Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali Chini ya Serikali ya Kenyatta Kusafiri Nje ya Nchi mpaka kwa Kibali cha Rais.
Ikumbukwe Makamu wa Rais wa Kenya alitamka hadharani kwamba wamerithi Nchi iliyofilisika na yenye mzigo mkubwa wa Madeni..
Swali je Ruto atakuwa Magufuli wa Kenya na kufuata siasa kali za Utaifa? 👇
View attachment 2365325
Acha AwauweWalimpenda wenyewe
Akikujibu naomba unitagi pleaseNaibu wa Rais wa KENYA kwa miaka 10 iliyotamatika alikuwa nani vile??