katika kile kinachoonekana kama copy & paste ya njia zilizotumiwa na shujaa wa chato katika kukabiliana na matajiri wanaotumia nguvu ya fedha kujimilikisha mali za waafrika wajinga,Rais wa taifa la Kenya,dokta Ruto ameomekana kufurahishwa na kitendo cha kutekwa kwa billionaire wa Kenya mwenye asili ya kihindi kilichotokea siku mbili zilizopita
"wananchi musiwe na wasiwasi wa kutokewa na wahindi kuwaongelesha kiingereza,wakola wote hata kama ni akina Rai lazima washughurikiwe"
note:Rai ndio billionaire aliyetekwa
"wananchi musiwe na wasiwasi wa kutokewa na wahindi kuwaongelesha kiingereza,wakola wote hata kama ni akina Rai lazima washughurikiwe"
note:Rai ndio billionaire aliyetekwa