Rais Ruto aunda Timu ya Kampeni ya Raila huko AU!

Rais Ruto aunda Timu ya Kampeni ya Raila huko AU!

Ni kwa mjinga kama wewe pekee ndie huwezi kujua kwamba Ruto anafurahia Raila akiondoka kwenye siasa za Kenya ndio itakuwa ahueni kwake!
Pressure ya Raila na Azimio la umoja kuhusu server za uchaguzi ni kubwa na linamnyima usingizi Ruto na anazidi kukonda.
Magufuli alijua wabaya wake na ndio walikuwa wakinuwia kutumiza kile walichokifurahia!
Tunalijua hilo!
Siasa za wakenya waachieni wenyewe!
Jiulize kwa nini hawa waliuawa na system huko huko unapopasifia.
JM kariuki.
Thom Mboya.
Robert Ouko.
Masinde Murilo.
Keneth Matiba.
Jacob Juma.
Kalonzo Mutua sr.
Bila kumsahau yule Bwana Msando msimamizi wa IT wa uchaguzi alieuawa ili kidole chake kikakatwa kwenda kufungulia server systems za uchaguzi.

Msiwe mbashobokea vitu msivyo na ufahamu navyo.
Maguful hakufurahia Membe kuondoka?🐼
 
Hayati Membe aliwahi Kulalamika kuwa Shujaa Magufuli hakuridhia Yeye akagombee nafasi ya juu kule Jumuiya ya Madola na hivyo Tanzania tukapoteza

Hapo Kenya mahasimu Wawili Rais Ruto kinara wa Kenya Kwanza na Raila kinara wa Azimio wameunda Timu ya Kampeni kuhakikisha Odinga anakuwa Mtendaji Mkuu wa Umoja wa Africa

Ndani ya Timu ya Kampeni yumo Obasanjo wa Nigeria

Bongo sijui tunafeli Wapi, ngoja tuone Timu ya naniliu kama Chadema wamo 😀😀
Too late,kwanza Rau hana qualifications labda JK ajitoe 🤣🤣
 
mondy apewe fursaa apoo mazee
FB_IMG_1708520126876.jpg
 
Back
Top Bottom