Rais Ruto awasili Dar kuhudhuria Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya za EAC na SADC

Rais Ruto awasili Dar kuhudhuria Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya za EAC na SADC

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Rais wa Jamhuri ya Kenya na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) William Samoei Ruto amewasili Nchini Tanzania na kupokelewa na Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso.

Rais Ruto amewasili kuhudhuria Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya za EAC na SADC utakaofanyika Nchini tarehe 8 Februari, 2025.

Soma Pia: Rais Samia kuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa nchi za SADC na EAC kujadili Mgogoro wa DR Congo

Jumuiya zote mbili zinakutana kujadili namna ya kupata ufumbuzi kuhusu hali ya usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Snapinst.app_472699219_18096286873513179_6189240886903008268_n_1080.jpeg
Snapinst.app_472610451_18096286870513179_5641347678258568006_n_1080.jpeg
 
Rais wa Jamhuri ya Kenya na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) William Samoei Ruto amewasili Nchini Tanzania na kupokelewa na Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso.

Rais Ruto amewasili kuhudhuria Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya za EAC na SADC utakaofanyika Nchini tarehe 8 Februari, 2025.

Soma Pia: Rais Samia kuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa nchi za SADC na EAC kujadili Mgogoro wa DR Congo

Jumuiya zote mbili zinakutana kujadili namna ya kupata ufumbuzi kuhusu hali ya usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Why Juma Aweso. Kwani Waziri wa Mambo ya Kigeni hakuwepo? Adadhali angeenda huyo!
 
Why Juma Aweso. Kwani Waziri wa Mambo ya Kigeni hakuwepo? Adadhali angeenda huyo!
Taarifa za chini Chini, huyo Waziri anaandaliwa kushika wadhifa wa biteko ama wa Mzee wa Ruangwa

Kwahiyo ndiyo wanamuandaa Kwa diplomasia
 
Taarifa za chini Chini, huyo Waziri anaandaliwa kushika wadhifa wa biteko ama wa Mzee wa Ruangwa

Kwahiyo ndiyo wanamuandaa Kwa diplomasia
Seriously!Juma Aweso?

Juma Aweso maneno mingiii lakini output/matokeo kiduuuuchu!
 
Why Juma Aweso. Kwani Waziri wa Mambo ya Kigeni hakuwepo? Adadhali angeenda huyo!
mawaziri wa mambo ya nje wa EAC na SADC wako kwenye Vikao Vya sekretarieti kuandaa ajenda na mapendekezo ya mkutano wa kesho.
 
Nashangaa watu wanajiaminishakwamba ccm itarudi kutawala. Mungu ameshapanga vinginevyo.
Hao possibility ya kushinda ni 55/45 Kwa kuwa wanatumia Dola kushinda Uchaguzi

Angalia Uchaguzi wa 2019/2020 na wa 2024 Serikali za Mitaa
 
Rais wa Jamhuri ya Kenya na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) William Samoei Ruto amewasili Nchini Tanzania na kupokelewa na Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso.

Rais Ruto amewasili kuhudhuria Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya za EAC na SADC utakaofanyika Nchini tarehe 8 Februari, 2025.

Soma Pia: Rais Samia kuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa nchi za SADC na EAC kujadili Mgogoro wa DR Congo

Jumuiya zote mbili zinakutana kujadili namna ya kupata ufumbuzi kuhusu hali ya usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Kwanini apokelewe na waziri wa maji? Waziri wa mambo ya nje hakuwepo?
 
Kagame akiongea Ndio ataweka msimamo Kamili, hawa wengine wanarukaruka Tu kama maharage
 
Back
Top Bottom