Rais Ruto inabidi amuite huyu kijana Ikulu na kumpatia tuzo ya heshima ya Uzalendo

Rais Ruto inabidi amuite huyu kijana Ikulu na kumpatia tuzo ya heshima ya Uzalendo

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848
Huyu kijana anaonekana ni Mkora tu, na inaonyesha analala chini ya madaraja au vibarazani mwa maduka au kwenye mitalo huku akijifunika ngumi.

Haijarishi yupo informed kwa kiwango kipi, pamoja na kadhia zote hizi za maisha anayoyaishi, hakuzingatia hilo, ameungana na wenzake wenye magari, wenye makwao,, wenye elimu, wenye ajira zao, wenye biashara zao n.k😞😞

Haijalishi amedanganywa au ameambiwa ukweli😟, kinachojalisha ni kwamba yeye anaonekana yupo serious kuliko wote, mwili na sura vimebeba machungu kwa ajili ya nchi.

Tanzania inahitaji sana watu wa aina hii.

Ametoka chini ya madaraja ambapo ndiyo anaishi (huenda) hana hata meno ya kulia keki ya taifa, hana hata smartphone lakini ameungana na wenzake kwenda kuipambania Airport, na huenda kupitia maandamano hayo ndiyo mara yake ya kwanza kufika airport.

Akitoka kwenye kupambania Airport isiuzwe, anaagana vizuri na wenzake, wenzake wanapanda Magari kurudi makwao, yeye mdogomdogo anarudi zake chini ya daraja kuendelea na maisha yake.

Nashauri Ruto ampatie kijana huyu nishani, asiangalie how informed he is, bali aangalie dhamira iliyo ndani yake.

 
Dogo ana machungu. Labda nikushauri ww mleta mada na wtz wote. Muwe serious kama huyo kijana mtafika mbali.

Infact umeongea maneno mengi ya kumponda inawezekana ww ndio hujui na haupo informed. Ni kweli airport ya Kenya imeuzwa kwa muhindi. ADANI

Kina Murkomen Kipchumba waziri wa zamani wa mabarabara na miundombinu huko kenya alishakula zake Bilioni mbili. Na huyo ni mwandani wa Ruto.

Kenya bado ni PA moto kwa hiyo issue

Next time punguza dharau
 
Dogo ana machungu. Labda nikushauri ww mleta mada na wtz wote. Muwe serious kama huyo kijana mtafika mbali.

Infact umeongea maneno mengi ya kumponda inawezekana ww ndio hujui na haupo informed. Ni kweli airport ya Kenya imeuzwa kwa muhindi. ADANI

Kina Murkomen Kipchumba waziri wa zamani wa mabarabara na miundombinu huko kenya alishakula zake Bilioni mbili. Na huyo ni mwandani wa Ruto.

Kenya bado ni PA moto kwa hiyo issue

Next time punguza dharau
Wapi nimemponda? Mimi nimeelezea uhalisia wako pamija na uhalisia huo lakini dhamira ya kweli kuhusu kile anachoakiamini unaiona ndani yake. Unawezaje kusema nimemponda?
Bila maelezo niliyoyaweka hapo isingeonekana huo uchungu wake
 
Wapi nimemponda? Mimi nimeelezea uhalisia wako pamija na uhalisia huo lakini dhamira ya kweli kuhusu kile anachoakiamini unaiona ndani yake. Unawezaje kusema nimemponda?
Bila maelezo niliyoyaweka hapo isingeonekana huo uchungu wake
'Ametoka chini ya madaraja'.....haya ni maneno yako bro
 
Huyu kijana anaonekana ni Mkora tu, na inaonyesha analala chini ya madaraja au vibarazani mwa maduka au kwenye mitalo huku akijifunika ngumi.
Haijarishi yupo informed kwa kiwango kipi, pamoja na kadhia zote hizi za maisha anayoyaishi, hakuzingatia hilo, ameungana na wenzake walio park magari, wenye elimu, wenye ajira zao, wenye biashara zao n.k
Haijalishi amedanganywa au ameambiwa ukweli😅, kinachojalisha ni kwamba yeye anaonekana yupo serious kuliko wote, mwili na sura vimebeba machungu kwa ajili ya nchi.
Ametoka chini ya madaraja ambapo.

Tanzania inahitaji sana watu wa aina hii.ndiyo anaishi, hana hata meno ya kulia keki ya taifa, hana hata smartphone lakini ameungana na wenzake kwenda kuipambania Airport, na huenda kupitia maandamano hayo ndiyo mara yake ya kwanza kufika airport. Akitoka kwenye kupambania Airport isiuzwe, anaagana vizuri na wenzake, wenzake wanapanda Magari kurudi makwao, yeye mdogomdogo anarudi zake chini ya daraja kuendelea ma maisha yake.

Nashauri Ruto ampatie kijana huyu nishani, asiangalie how informed he is, bali aangalie dhamira iliyo ndani yake.
View attachment 3095576
Mleta mada umeongea kwa uchungu hadi nimelengwa na machozi.
 
Airport ya Nairobi Jommo Kenyatta imeuzwa au imekodishwa?!
 
Airport ya Nairobi Jommo Kenyatta imeuzwa au imekodishwa?!
Ndiyo maana nikasema Ruto asiangalie how informed he is, bali aangalie dhamira ya huyo kijana na hatua alizozichukua. Kwangu huyo dogo ni Mkenya imara kabisa
 
Chadema huwa wanadanganya vijana wetu hivyo hivyo.

Walishawahi kuwaambia kuna bomba la gesi lonapita chini ya bahari tokea mtwara mpaka Ulaya.

Aisee.
 
Kutoka kuuza kuku mpaka kuuza airport. Ruto katisha watu wanatoka mbali sana
 
Chadema huwa wanadanganya vijana wetu hivyo hivyo.

Walishawahi kuwaambia kuna bomba la gesi lonapita chini ya bahari tokea mtwara mpaka Ulaya.

Aisee.
Hiyo CHaaDEMA ya wapi mkuu? Hii kauli ndiyo kwanza nakusoma wewe hapa.
 
Hiyo CHaaDEMA ya wapi mkuu? Hii kauli ndiyo kwanza nakusoma wewe hapa.
Itakua upo nje ya Nchi kwa muda mrefu sana.

 
Kwahiyo unapokata tiketi ya Basi kusafiria unakuwa umelinunua Basi kwa muda?!🤔
Unakuwa umenunua siti ya basi kwa muda mpaka utakapofika unapokwenda. Au kwa lugha rahisi. Abiria wote wanakuwa wamelinunua basi kwa muda mpaka wafike vituoni kwao

Nimekuchanganya mzee!!??

Kiswahili kigumu!?
 
Back
Top Bottom