Rais Ruto inabidi amuite huyu kijana Ikulu na kumpatia tuzo ya heshima ya Uzalendo

Rais Ruto inabidi amuite huyu kijana Ikulu na kumpatia tuzo ya heshima ya Uzalendo

Unakuwa umenunua siti ya basi kwa muda mpaka utakapofika unapokwenda. Au kwa lugha rahisi. Abiria wote wanakuwa wamelinunua basi kwa muda mpaka wafike vituoni kwao

Nimekuchanganya mzee!!??

Kiswahili kigumu!?
Ooh kumbeee.

Ndiyo maana nadereva wanaamuwa kuwaondosha kwenda ahera na basi lao.
 
Wtz hawana wao bandari zao zote ziliuzwa na mama Samia na hakuna hatua waliyochukua.kweli jomo Kenyata alikuwa sahihi kusema watanzania ni maiti milele Kwa sababu hata uwakosee kiasi Gani hawawezi kudai haki zao
 
Itakua upo nje ya Nchi kwa muda mrefu sana.

Ahsante, nimekuelewa.
Lugha aliyoitumia haina maana ya mabomba kama ulivyochagua kuelewa.
Uliponipatia hii link, sikuchagua nielewe kwa namna gani, balielewa alivyoikusudia ambapo wewe pia ulielewa lakini ukachagua
 
Ahsante, nimekuelewa.
Lugha aliyoitumia haina maana ya mabomba kama ulivyochagua kuelewa.
Uliponipatia hii link, sikuchagua nielewe kwa namna gani, balielewa alivyoikusudia ambapo wewe pia ulielewa lakini ukachagua
Chenga.
 
Tulia ww,Kenya 1/4 ya ardhi ya nchi inamilikiwa na Familia za Kenyatta,Ruto, Mdavad,Kalonzo na Rail na 1/4 nyingine ni jangwa hakuna rutuba.Mpo na matajiri wachache masikini wengi kama nzige na unemployment kubwana nchi yenu ina madeni hadi haikopesheki.
Kwa hali hiyo mna kila sababu za kuandamana,sisi Tanzania aridhi ya kumwaga watu wanapata mazao wengi hawalali njaa-Hawawezi ona umuhimu wa kuandamana.
 
Tiketi ni mkataba wa usafiri baina ya Msafiri na mwenye Basi.

Tiketi sio Risiti ya manunuzi.
Unajichanganya. Unaongelea kitu kimoja. Hapo fedha imetolewa kununua huduma so ticket ni mkataba wa manunuzi ya huduma
 
Huyu kijana anaonekana ni Mkora tu, na inaonyesha analala chini ya madaraja au vibarazani mwa maduka au kwenye mitalo huku akijifunika ngumi.
Haijarishi yupo informed kwa kiwango kipi, pamoja na kadhia zote hizi za maisha anayoyaishi, hakuzingatia hilo, ameungana na wenzake walio park magari, wenye elimu, wenye ajira zao, wenye biashara zao n.k
Haijalishi amedanganywa au ameambiwa ukweli😅, kinachojalisha ni kwamba yeye anaonekana yupo serious kuliko wote, mwili na sura vimebeba machungu kwa ajili ya nchi.
Tanzania inahitaji sana watu wa aina hii,
Ametoka chini ya madaraja ambapo ndiyo anaishi (huenda) hana hata meno ya kulia keki ya taifa, hana hata smartphone lakini ameungana na wenzake kwenda kuipambania Airport, na huenda kupitia maandamano hayo ndiyo mara yake ya kwanza kufika airport. Akitoka kwenye kupambania Airport isiuzwe, anaagana vizuri na wenzake, wenzake wanapanda Magari kurudi makwao, yeye mdogomdogo anarudi zake chini ya daraja kuendelea na maisha yake.

Nashauri Ruto ampatie kijana huyu nishani, asiangalie how informed he is, bali aangalie dhamira iliyo ndani yake.
View attachment 3095576
Ruto ni mafia. Ataishia kumuua
 
Umenikumbisha kanisan misa za asubuhi mkiwa mnatoka kanisan waumin wenzio wote wamekuja na magari kila mmoja anapanda ndiga lake wewe unaanza kukanyaga kwa mguu
Kuna kanisa la hivyo hapa bongo?
 
Inamsaidia nini? Tangu nilipogundua tunapoteza muda, niliamua kukaa kimya tu
 
Back
Top Bottom