Ooh kumbeee.Unakuwa umenunua siti ya basi kwa muda mpaka utakapofika unapokwenda. Au kwa lugha rahisi. Abiria wote wanakuwa wamelinunua basi kwa muda mpaka wafike vituoni kwao
Nimekuchanganya mzee!!??
Kiswahili kigumu!?
Ahsante, nimekuelewa.Itakua upo nje ya Nchi kwa muda mrefu sana.
Dkt. Slaa: Mabomba ya gesi toka Mtwara yanaelekea Ulaya!
Nimeshitushwa na maneno ya Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Slaa alipokua akiwahutubia wananchi wa Iringa kuwa Mabomba ya gesi inayochimbwa Mtwara yanaelekezwa Ulaya badala ya kuelekezwa kwa wananchi wa Mtwara. Ameeleza hayo bila kufafanua ukweli wa jambo hilo. Source: ITV HABARIKatika taarifa ya...www.jamiiforums.com
Tiketi ni mkataba wa usafiri baina ya Msafiri na mwenye Basi.Abiria wote wanakuwa wamelinunua basi kwa muda mpaka wafike vituoni kwao
Chenga.Ahsante, nimekuelewa.
Lugha aliyoitumia haina maana ya mabomba kama ulivyochagua kuelewa.
Uliponipatia hii link, sikuchagua nielewe kwa namna gani, balielewa alivyoikusudia ambapo wewe pia ulielewa lakini ukachagua
Unajichanganya. Unaongelea kitu kimoja. Hapo fedha imetolewa kununua huduma so ticket ni mkataba wa manunuzi ya hudumaTiketi ni mkataba wa usafiri baina ya Msafiri na mwenye Basi.
Tiketi sio Risiti ya manunuzi.
Unalazimisha?!Unajichanganya. Unaongelea kitu kimoja. Hapo fedha imetolewa kununua huduma so ticket ni mkataba wa manunuzi ya huduma
Ruto ni mafia. Ataishia kumuuaHuyu kijana anaonekana ni Mkora tu, na inaonyesha analala chini ya madaraja au vibarazani mwa maduka au kwenye mitalo huku akijifunika ngumi.
Haijarishi yupo informed kwa kiwango kipi, pamoja na kadhia zote hizi za maisha anayoyaishi, hakuzingatia hilo, ameungana na wenzake walio park magari, wenye elimu, wenye ajira zao, wenye biashara zao n.k
Haijalishi amedanganywa au ameambiwa ukweli😅, kinachojalisha ni kwamba yeye anaonekana yupo serious kuliko wote, mwili na sura vimebeba machungu kwa ajili ya nchi.
Tanzania inahitaji sana watu wa aina hii,
Ametoka chini ya madaraja ambapo ndiyo anaishi (huenda) hana hata meno ya kulia keki ya taifa, hana hata smartphone lakini ameungana na wenzake kwenda kuipambania Airport, na huenda kupitia maandamano hayo ndiyo mara yake ya kwanza kufika airport. Akitoka kwenye kupambania Airport isiuzwe, anaagana vizuri na wenzake, wenzake wanapanda Magari kurudi makwao, yeye mdogomdogo anarudi zake chini ya daraja kuendelea na maisha yake.
Nashauri Ruto ampatie kijana huyu nishani, asiangalie how informed he is, bali aangalie dhamira iliyo ndani yake.
View attachment 3095576
Sikulazimishi nakufundisha ww usiyejua. Hutaki unaachaUnalazimisha?!
Hebu nipe maana ya "Kukodisha" kwa kutumia Kamusi.Sikulazimishi nakufundisha ww usiyejua. Hutaki unaacha
Kuna kanisa la hivyo hapa bongo?Umenikumbisha kanisan misa za asubuhi mkiwa mnatoka kanisan waumin wenzio wote wamekuja na magari kila mmoja anapanda ndiga lake wewe unaanza kukanyaga kwa mguu
Sisi tutulieee tu tucheze komasavaChadema huwa wanadanganya vijana wetu hivyo hivyo.
Walishawahi kuwaambia kuna bomba la gesi lonapita chini ya bahari tokea mtwara mpaka Ulaya.
Aisee.
Kanisa takatifu katoliki la mitumeKuna kanisa la hivyo hapa bongo?