johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Dkt. Ruto amesema amefuatilia malalamiko ya Vijana wadogo wa Gen Z na kuyaelewa
Ruto amesema amefurahishwa sana na uwezo wa Watoto hao wa kung'amua mambo hivyo yuko tayari kufanya nao kazi
Kwa kuanzia tumeongezeza Fedha za kuendesha Skuli Pamoja na Mikopo ya Elimu ya Juu Ili wanafunzi wote wa Kenya wapate fursa ya kusoma na kulisaidia Taifa mbeleni hatutaki kuwa na Taifa la Vijana wasiotambua umuhimu wao kwa Taifa la Kesho ambalo Ruto na Odinga hatutakuwepo, amesisitiza
Credit: Citizen TV
"I am very proud of our young people. They have stepped forward tribeless, they have stepped forward peacefully and I want to tell them we are going to engage so that together we can build a better nation," Ruto said. "What I want to encourage them is that we are concerned about their issues.
Pia soma
Ruto amesema amefurahishwa sana na uwezo wa Watoto hao wa kung'amua mambo hivyo yuko tayari kufanya nao kazi
Kwa kuanzia tumeongezeza Fedha za kuendesha Skuli Pamoja na Mikopo ya Elimu ya Juu Ili wanafunzi wote wa Kenya wapate fursa ya kusoma na kulisaidia Taifa mbeleni hatutaki kuwa na Taifa la Vijana wasiotambua umuhimu wao kwa Taifa la Kesho ambalo Ruto na Odinga hatutakuwepo, amesisitiza
Credit: Citizen TV
"I am very proud of our young people. They have stepped forward tribeless, they have stepped forward peacefully and I want to tell them we are going to engage so that together we can build a better nation," Ruto said. "What I want to encourage them is that we are concerned about their issues.
Pia soma
