Rais Ruto: Serikali haitaendelea kutoa ruzuku ya unga, itawasaidia wakulima

Rais Ruto: Serikali haitaendelea kutoa ruzuku ya unga, itawasaidia wakulima

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rais Ruto wa Kenya amesema hatoendelea kutoa ruzuku ya unga na badala yake atasaidia wakulima wadogo na wakubwa kufanya uzalishaji ambao utapunguza bei ya bidhaa hizo.

Bei ya unga nchini Kenya ilipanda sana kutokana na vita vya Ukraine na Urusi ambapo serikali chini ya Rais Uhuru Kenyata iliweka ruzuku ili kupunguza bei ya bidhaa hiyo inayotumika na wakenya wengi.

Rais Ruto ameenda tofauti na mtangulizi huku akiweka wazi kuwa ruzuku hizo zimekuwa zikiwagharimu wakenya fedha nyingi ambapo kila mwezi hutoa Ksh. Bilioni 7 ambapo kila mfuko wa unga ulilipiwa ruzuku ya Ksh. 100
 
... unga gani huo? Wa mahindi au?
 
Back
Top Bottom