Rais Ruto wa Kenya ampigia simu Rais mteule wa Marekani Donald Trump

Rais Ruto wa Kenya ampigia simu Rais mteule wa Marekani Donald Trump

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Rais wa Kenya, William Ruto, amefanya mawasiliano ya simu na Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, ili kujadili masuala ya uwezekano wa kuimarisha uhusiano kati ya mataifa hayo mawili.

Rais Ruto alimtaka Trump kuendelea kuangazia maeneo ya kipaumbele katika uhusiano wao, ikiwemo fursa za uwekezaji, ushirikiano wa kiusalama, na utawala bora.

Ruto.png

Soma pia: Trump adaiwa kuwasiliana na Putin angalau mara 7 baada ya kutoka ikulu ya White House mwaka 2021

Rais Ruto pia alimfahamisha Trump kuhusu Ujumbe wa Kimataifa wa Usaidizi wa Usalama nchini Haiti, unaoongozwa na vikosi vya Kenya.

Watanzania tunakwama wapi lini tutasikia Samia anaongea na Trump?

Source: EATV
 
Nasikia simu ya Roho kwa Trump imevuja:

Ruto:
^Sisi tuko na wewe, buana. Ila usitufinye sana, siunajua namna Gen Z vile wametukimbiza majuzi? Ukitaka taja hata Bi Samia au Mseveni. Lakini sisi hebu tuache kwanza tupumue. Si namna hiyo? Au vipi buana? haha hahaa!^
 
Rais wa Kenya, William Ruto, amefanya mawasiliano ya simu na Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, ili kujadili masuala ya uwezekano wa kuimarisha uhusiano kati ya mataifa hayo mawili.

Rais Ruto alimtaka Trump kuendelea kuangazia maeneo ya kipaumbele katika uhusiano wao, ikiwemo fursa za uwekezaji, ushirikiano wa kiusalama, na utawala bora.


Soma pia: Trump adaiwa kuwasiliana na Putin angalau mara 7 baada ya kutoka ikulu ya White House mwaka 2021

Rais Ruto pia alimfahamisha Trump kuhusu Ujumbe wa Kimataifa wa Usaidizi wa Usalama nchini Haiti, unaoongozwa na vikosi vya Kenya.

Watanzania tunakwama wapi lini tutasikia Samia anaongea na Trump?

Source: EATV
Hayo mambo ya kiume mwanamke hayamuhusu
 
Samia atembelee wajomba zake wavaa kubaz,atamwambia nini Trump???
 
Rais wa Kenya, William Ruto, amefanya mawasiliano ya simu na Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, ili kujadili masuala ya uwezekano wa kuimarisha uhusiano kati ya mataifa hayo mawili.

Rais Ruto alimtaka Trump kuendelea kuangazia maeneo ya kipaumbele katika uhusiano wao, ikiwemo fursa za uwekezaji, ushirikiano wa kiusalama, na utawala bora.


Soma pia: Trump adaiwa kuwasiliana na Putin angalau mara 7 baada ya kutoka ikulu ya White House mwaka 2021

Rais Ruto pia alimfahamisha Trump kuhusu Ujumbe wa Kimataifa wa Usaidizi wa Usalama nchini Haiti, unaoongozwa na vikosi vya Kenya.

Watanzania tunakwama wapi lini tutasikia Samia anaongea na Trump?

Source: EATV
Such nonsense,hakuna faida yeyote huyo Ruto kaileta toka akishobokeshe kwa hao mabepari.
 
Back
Top Bottom