The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Mbona unachekaππππ
Lucas Mwashambwa njoo haraka wanakuchokoza huku
Samia hana jipya kama ilivyo kwa Rais wa Marekani wa sasa, kinachotofautisha tu ni kiwango cha demokrasia wenzetu wapo mbali sana.
Samia anatakiwa madarakani na majambazi ya rasilimali za nchi hii, ila kiukweli hana future yoyote na Tanzania.
Tungekuwa taifa la watu wanaojielewa samia hata kura moja asingepata 2025.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mbona unacheka
Ya kwangu hatapata kabisa kwani huwa namuona ni bomu Tena la kienyeji. Hana future na nchi yetu na hana Nia nzuri na nchi yetu. Zaidi ni dhaifu kuliko udhaifu wenyewe .
Samia hana jipya kama ilivyo kwa Rais wa Marekani wa sasa, kinachotofautisha tu ni kiwango cha demokrasia wenzetu wapo mbali sana.
Samia anatakiwa madarakani na majambazi ya rasilimali za nchi hii, ila kiukweli hana future yoyote na Tanzania.
Tungekuwa taifa la watu wanaojielewa samia hata kura moja asingepata 2025.
Nililipa kwa dola nchi flani. Nimepata hasara kubwa sana kwa kudorora thamani ya fedha yetu
Samia hana jipya kama ilivyo kwa Rais wa Marekani wa sasa, kinachotofautisha tu ni kiwango cha demokrasia wenzetu wapo mbali sana.
Samia anatakiwa madarakani na majambazi ya rasilimali za nchi hii, ila kiukweli hana future yoyote na Tanzania.
Tungekuwa taifa la watu wanaojielewa samia hata kura moja asingepata 2025.
Samia hana jipya kama ilivyo kwa Rais wa Marekani wa sasa, kinachotofautisha tu ni kiwango cha demokrasia wenzetu wapo mbali sana.
Samia anatakiwa madarakani na majambazi ya rasilimali za nchi hii, ila kiukweli hana future yoyote na Tanzania.
Tungekuwa taifa la watu wanaojielewa samia hata kura moja asingepata 2025.
Joe Biden akishinda urais Marekani nitampa kura SSH. Ukweli ni majambazi wa rasilimali za taifa pekee ndio wanamhitaji. Tanzania sio maabara ya kujifunzia kuongoza.
Samia hana jipya kama ilivyo kwa Rais wa Marekani wa sasa, kinachotofautisha tu ni kiwango cha demokrasia wenzetu wapo mbali sana.
Samia anatakiwa madarakani na majambazi ya rasilimali za nchi hii, ila kiukweli hana future yoyote na Tanzania.
Tungekuwa taifa la watu wanaojielewa samia hata kura moja asingepata 2025.