Rais Samia aache kukwepa majukumu

Ilo la umeme kasha shindwa zamani sana..hili la sukari nalo kaambiwa kazila ana kisirani uyu bibi
Mkiwa na katiba mbovu lazima mtawapata viongozi wabovu wasiowajibika kwa wananchi
 
Jana hukusikia upuuzi wa wanaccm pale Mwanza wakati wavuvi wanapewa rushwa ya maboti?
 
Kwa hiyo cdf alimdanganya raisi au kama kuna vyombo vingi mbona wakimbizi kibao wamejaa maofisini, mitaani hivyo vyombo viko wapi.Mm niko hapa Kigoma kila kona wamejaa warundi mpaka kwenye mabaa sasa hivyo vyombo haviwaoni?

Ofisi gani ya serikali ina wakimbizi kama watumishi?

Mnadhani huko Kigoma mpo peke yenu?
 
Haya, kila mtu na fikra zake. Ndio maana mpaka leo CCM inatawala kwa sababu fikra zake ni tofuti na mnavyofikiri nyinyi.

CCM inaujwa upinzani, juu chini, iliuanzisha yenyewe na bado inau control mpaka kesho. Inauchezea kama vinyago vya mapapure.

Wewe wasema. Ingekuwa hivyo wasingekuwa wanahangaika na miswada wa Time Huru ya uchaguzi au danadana za Katiba Mpya.
 
CDF kapuuzwa sababu kaongea pumba yeye kama yeye. It has nothing to do with JWTZ.

Sikubaliani na wewe kwenye Hilo la kusema kaongea yeye Kama yeye. Hapana, CDF ni nembo ya jeshi, hawezi kuamka kitandani akatoa madai makubwa Kama Yale.
 
Nchi iko salama sababu boss wake anajua anachokifanya.

Huwezi kusema nchi ipo salama , halafu wakati huo unadai CDF kapuyanga. Kama CDF kapuyanga Ulinzi wa nchi utakuwaje?. Ndio maana Mimi naamini CDF alikuwa sahihi.
 

Kweli kabisa mkuu
 

Ok, noted mkuu.
 
Huwezi kusema nchi ipo salama , halafu wakati huo unadai CDF kapuyanga. Kama CDF kapuyanga Ulinzi wa nchi utakuwaje?. Ndio maana Mimi naamini CDF alikuwa sahihi.

Kama unaamini CDF hawezi kupuyanga basi boss wake, CIC, aliyemteua huyo CDF hawezi hata kujaribu kupuyanga. It's just logical. Kama unadhani CIC anaweza kupuyanga basi CDF anaweza kupuyanga as well.
 

Ok, noted mkuu.
 
Utakuwa mnyarwanda wewe sio bure , yaani CDF anajua tatizo wewe unasema hamna

Nyie wakimbizi bana
 
Sikubaliani na wewe kwenye Hilo la kusema kaongea yeye Kama yeye. Hapana, CDF ni nembo ya jeshi, hawezi kuamka kitandani akatoa madai makubwa Kama Yale.

Rais ni mkuu wa serikali na nchi including hilo jeshi lenyewe.
 
Utakuwa mnyarwanda wewe sio bure , yaani CDF anajua tatizo wewe unasema hamna

Nyie wakimbizi bana

Sio mimi tu hata boss wa CDF, CIC anayeweza kumtengua CDF muda wowote kama Makonda anajua hamna mkimbizi serikalini.

Mkimbizi nimepoa hapa nacheka tu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…