kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
shughuli ya CCM sio mchezo ,tukubali kwamba ,kama sio mwinyi Kuja kugombea urais JMT basi msishangae nchimbi JOHNIle ripoti ya CDF anaichukulia Kama ripoti ya CAG.
Inapigwa muhuri wa NO ACTION.
for archives only.
CCM wasikiageCDF kapata wapi hii confidence
Rais ajaye Ni ndugu yetu January Makamba mbunge. Kijana msomi, asiye na makuu, halafu busara imetulia mle. Hana tamaa, anatosheka na MISHAHARA wake. Mstaarabu Wala Hana pupa Wala PAPARA. Hana nyumba ndogo Wala michepuko, sio mlevi.shughuli ya CCM sio mchezo ,tukubali kwamba ,kama sio mwinyi Kuja kugombea urais JMT basi msishangae nchimbi JOHN
ngwea hakuwa na akili kizimkazi kama weweRais ni mkuu wa serikali na nchi including hilo jeshi lenyewe.
na mama kaingia kichwa kichwa kumpa ukatibu mkuu ndg yangu NCHIMBI JOHN madogo wote na January wakikulia viunga vyeeuuuupe peeeee pale magogoni miaka yoteRais ajaye Ni ndugu yetu January Makamba mbunge. Kijana msomi, asiye na makuu, halafu busara imetulia mle. Hana tamaa, anatosheka na MISHAHARA wake. Mstaarabu Wala Hana pupa Wala PAPARA. Hana nyumba ndogo Wala michepuko, sio mlevi.
Bashe kazaliwa Nzega. Tatizo lenu mnapenda sana kuendeshwa na story za vijiweni. Moreover, mtu aliyezaliwa nje na kuwa naturalized anaweza kushika nafasi yeyote ile TZ isipokuwa Urais na VP ambazo ni lazima uwe mtanzania by birth. So, mkiamua kujifanya mazwazwa kwa kujitoa akili mseme Bashe kazaliwa nje ila kama kawa naturalized basi ni mtanzania kama au zaidi yako.
Acheni kukaa vijiweni.
View attachment 2889874
Ukijua Rais ni mkuu wa serikali, mkuu wa nchi, na Commander In Chief all-in-one, utajua nani yupo informed zaidi na nani ni boss la maboss.
Siyo leo,tangia 2020 Musoma walisimamia uchafuzi mkuu na kufanya dolia kitaani huku wakiwa wamevalia vitaa vya bendela ya wale jamaa wa somalia kwenye maeneo ya nyuso zao.
Mawili yangatiwe
(a) itifaki haikuzingatiwa na Jenerali Jmkunda(Jeshi na kizimkazi akabumbia)
(b) kizimkazi madam president , kutokana na ubibi (uzee) masikio hajakusikia ,akaelewa JMkunda kasema wapinzani ni wakimbizi
Hapo juu yote yanawezekana. Kikubwa Imani iongezeke Kwa jeshi la wananchi na mkuu wake na madam kizimkazi apuuzwe na CCM yake
Ulikuwepo kwenye uchaguzi wa 2010 wakati CCM wakimwengua Hussein Bashe kwa sababu za Uraia?. Tena Katibu Mkuu akiwa Yusuph Makamba.
Kwa hivyo rais yupo informed na mambo ya ulinzi kuliko CDF?. Yani Rais yupo informed kuhusu benki kuu kuliko gavana wa benki kuu?. Tuwe wakweli. Rais anapewa taarifa kidogo tu, Tena inapobidi.
Kwanini hiyo taarifa CDF asingempeleka Rais ofisini kwake kimya kimya?. Kwanini hadharani?Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.
Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.
Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .
Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia, kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
Sio Bashe tu aliyewahi kupewa hizo allegations, Jenerali Ulimwengu tena akiwa balozi kabisa na wengine wengi. Bdae inakuja kuthibitika ni watanzania kuliko wewe mmatumbi.
Hizi allegations zinatokana na ujinga wa watanzania walio wengi ndo maana nakwambia CDF wenu kapuyanga ndo maana boss wake kampuuza. Hakuna mkimbizi serikalini, tatizo ni ujinga na kutokujua sheria. Kamishna wa Uhamiaji anajua hili ndo maana hata hajajisumbua kutoa ufafanuzi.
The buck stops at the CIC's desk. Elewa hilo. Ukijua hilo utajua nani ni Boss, nani ana information zaidi na nani make the calls. Mteule awe mkubwa kuliko mteuzi toka lini?
Kwanini hiyo taarifa CDF asingempeleka Rais ofisini kwake kimya kimya?. Kwanini hadharani?
Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
Yani wewe raia wa kawaida unadai CDF kapuyanga. Ina maana wewe raia una taarifa zote kuliko CDF. Punguza kudharau nafasi ya CDF na kuichukulia Kama Katibu kata.