Rais Samia aache kukwepa majukumu

Rais Samia aache kukwepa majukumu

Ile ripoti ya CDF anaichukulia Kama ripoti ya CAG.
Inapigwa muhuri wa NO ACTION.
for archives only.
shughuli ya CCM sio mchezo ,tukubali kwamba ,kama sio mwinyi Kuja kugombea urais JMT basi msishangae nchimbi JOHN
 
CDF kapata wapi hii confidence
CCM wasikiage

Kimsingi inaonekana vijana wake wa kazi wamemwambia usiposema tutachukua hatua wakakoti na kauli ya baba wa taifa ,ikulu ni pahala patakati sio pango

Mkunda yule Yuko chini ya watu pamoja na huo ukubwa wake , PIA skonga Ipo ya kutosha
 
shughuli ya CCM sio mchezo ,tukubali kwamba ,kama sio mwinyi Kuja kugombea urais JMT basi msishangae nchimbi JOHN
Rais ajaye Ni ndugu yetu January Makamba mbunge. Kijana msomi, asiye na makuu, halafu busara imetulia mle. Hana tamaa, anatosheka na MISHAHARA wake. Mstaarabu Wala Hana pupa Wala PAPARA. Hana nyumba ndogo Wala michepuko, sio mlevi.
 
Rais ajaye Ni ndugu yetu January Makamba mbunge. Kijana msomi, asiye na makuu, halafu busara imetulia mle. Hana tamaa, anatosheka na MISHAHARA wake. Mstaarabu Wala Hana pupa Wala PAPARA. Hana nyumba ndogo Wala michepuko, sio mlevi.
na mama kaingia kichwa kichwa kumpa ukatibu mkuu ndg yangu NCHIMBI JOHN madogo wote na January wakikulia viunga vyeeuuuupe peeeee pale magogoni miaka yote

Bila kujua KASOKOTEWa msokoto na mapusha wako pale KIMYA
 
Bashe kazaliwa Nzega. Tatizo lenu mnapenda sana kuendeshwa na story za vijiweni. Moreover, mtu aliyezaliwa nje na kuwa naturalized anaweza kushika nafasi yeyote ile TZ isipokuwa Urais na VP ambazo ni lazima uwe mtanzania by birth. So, mkiamua kujifanya mazwazwa kwa kujitoa akili mseme Bashe kazaliwa nje ila kama kawa naturalized basi ni mtanzania kama au zaidi yako.

Acheni kukaa vijiweni.
View attachment 2889874

Ulikuwepo kwenye uchaguzi wa 2010 wakati CCM wakimwengua Hussein Bashe kwa sababu za Uraia?. Tena Katibu Mkuu akiwa Yusuph Makamba.
 
Ukijua Rais ni mkuu wa serikali, mkuu wa nchi, na Commander In Chief all-in-one, utajua nani yupo informed zaidi na nani ni boss la maboss.

Kwa hivyo rais yupo informed na mambo ya ulinzi kuliko CDF?. Yani Rais yupo informed kuhusu benki kuu kuliko gavana wa benki kuu?. Tuwe wakweli. Rais anapewa taarifa kidogo tu, Tena inapobidi.
 
Mawili yangatiwe

(a) itifaki haikuzingatiwa na Jenerali Jmkunda(Jeshi na kizimkazi akabumbia)
(b) kizimkazi madam president , kutokana na ubibi (uzee) masikio hajakusikia ,akaelewa JMkunda kasema wapinzani ni wakimbizi

Hapo juu yote yanawezekana. Kikubwa Imani iongezeke Kwa jeshi la wananchi na mkuu wake na madam kizimkazi apuuzwe na CCM yake

Nadhani sababu ya pili ndio ya ukweli. Bibi hakusikiliza vizuri.
 
Mama Samiah kapuyanga. Ashughulike na wakimbizi serikalini na sio kujificha kwenye mgongo wa upinzani.
 
Ulikuwepo kwenye uchaguzi wa 2010 wakati CCM wakimwengua Hussein Bashe kwa sababu za Uraia?. Tena Katibu Mkuu akiwa Yusuph Makamba.

Sio Bashe tu aliyewahi kupewa hizo allegations, Jenerali Ulimwengu tena akiwa balozi kabisa na wengine wengi. Bdae inakuja kuthibitika ni watanzania kuliko wewe mmatumbi.

Hizi allegations zinatokana na ujinga wa watanzania walio wengi ndo maana nakwambia CDF wenu kapuyanga ndo maana boss wake kampuuza. Hakuna mkimbizi serikalini, tatizo ni ujinga na kutokujua sheria. Kamishna wa Uhamiaji anajua hili ndo maana hata hajajisumbua kutoa ufafanuzi.
 
Kwa hivyo rais yupo informed na mambo ya ulinzi kuliko CDF?. Yani Rais yupo informed kuhusu benki kuu kuliko gavana wa benki kuu?. Tuwe wakweli. Rais anapewa taarifa kidogo tu, Tena inapobidi.

The buck stops at the CIC's desk. Elewa hilo. Ukijua hilo utajua nani ni Boss, nani ana information zaidi na nani make the calls. Mteule awe mkubwa kuliko mteuzi toka lini?
 
Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.

Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.

Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .

Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia, kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
Kwanini hiyo taarifa CDF asingempeleka Rais ofisini kwake kimya kimya?. Kwanini hadharani?

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Sio Bashe tu aliyewahi kupewa hizo allegations, Jenerali Ulimwengu tena akiwa balozi kabisa na wengine wengi. Bdae inakuja kuthibitika ni watanzania kuliko wewe mmatumbi.

Hizi allegations zinatokana na ujinga wa watanzania walio wengi ndo maana nakwambia CDF wenu kapuyanga ndo maana boss wake kampuuza. Hakuna mkimbizi serikalini, tatizo ni ujinga na kutokujua sheria. Kamishna wa Uhamiaji anajua hili ndo maana hata hajajisumbua kutoa ufafanuzi.

Yani wewe raia wa kawaida unadai CDF kapuyanga. Ina maana wewe raia una taarifa zote kuliko CDF. Punguza kudharau nafasi ya CDF na kuichukulia Kama Katibu kata.
 
The buck stops at the CIC's desk. Elewa hilo. Ukijua hilo utajua nani ni Boss, nani ana information zaidi na nani make the calls. Mteule awe mkubwa kuliko mteuzi toka lini?

Wewe unaongelea Cheo Mimi naongelea nani yupo kwenye ground anayejua in and out. Rais atapewa taarifa pale anapohitaji na pale itakapohitajika kupewa. Ila CDF yeye yupo kwa ground na anajua yanayoendelea kila siku.

Unakumbuka kwenye msiba wa Magufuli?. CDF mabeyo alimwambia Rais Kuna Jambo atamwambia wakiwa wawili faragha. Usishangae lilikuwa hilihili alilolisema CDF Mkunda.
 
Yani wewe raia wa kawaida unadai CDF kapuyanga. Ina maana wewe raia una taarifa zote kuliko CDF. Punguza kudharau nafasi ya CDF na kuichukulia Kama Katibu kata.

Sijasema mimi nimesema boss wake kapuuza madai yake.
 
Back
Top Bottom