Rais Samia aache kukwepa majukumu


Wewe NAMBA MOJA AJAYE NCHINI ni ndugu na yoga?
 

Kweli kabisa. Shida ni kwamba majeshi yapo controlled
 

Kweli kabisa. Baadala ajadili Jambo zito Kama like yeye anajibu kiwepesi na kuhamisha mada kwenye uchaguzi na kuwakabidhi jeshi jukumu ambalo polisi wangewwza kushugulikia.
 
Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dark arts tena mkuu
 
Kwa hivyo kwa kauli yako ni kwamba JWTZ walikurupuka.
Hata JWTZ ni Rais pia anawahakiki, ndani ya JWTZ Rais ana watu wa usalama wengi tu, ama laaa, Mkuu wa Majeshi atuambie kwamba yeye Mkuu wa Majeshi ameyaona kwa wanasiasa tu na watendaji wa nje ya jeshi
 
Kaa ukijua kuwa CDF aliambiwa atoe hilo tangazo ili Rais ambaye ndiye mtoa agizo hilo apate wasaa wa kuwatishia na kuwatia hofu Watanganyika kuwa hawamu hii ya uchaguzi jeshi litakuwa liko tayari kwa lolote hasa upande wa vyama vya siasa.
 
Sidhani, kuwa, JWTZ, walikurupuka. Aidha JWTZ ni miongoni mwa taasisi za, Rais yeye kama amiri Jeshi mkuu. Kabla hawajaongea, alikuwa na taarifa, hiyo.Ufahamu wa wabongo wengi hupo china Sana. Kila kitu wanakifanya kuwa ni siasa tu.
Hawaja kurupuka,bali CDF alipewa agizo hilo na aliyetoa agizo hilo ndiye huyohuyo aliye waagiza hadharani sasa ya kwamba wakae mkao wa kula.
Siyo kwa dhamira ya dhati hapana,ni kampeni za kisiasa wameingizwa Jeshi la Wakurya Tangu Zamani.
 
..Kwa hiyo vyombo vilivyompata CDF taarifa vimekurupa au si vya kuaminika?
CDF ni sehemu tu ya vyombo vya Rais, na Rais hawajibiki kumuamini CDF moja kwa moja, ndio maana ana taasisi zaidi ya moja za kumpa taarifa.

What if hata huyo CDF kapotoshwa?

Rais ana usalama wa taifa, ana uhamiaji, ana watu wa ofisi ya Rais, wakuu wa mikoa, wilaya, kata, tarafa, na kila aina ya taasisi za kumsaidia
 
Umeshindwa kuelewa kua CDF kaamrishwa aseme yale?

Usicheze kabisa na Intelijensia na namna za kuwatoa hofu wananchi.

Ukiona yametangawa yale ujue ulikuwa unatumwa ujumbe kkwa kina fulani na ujuwe wote waliopo wapo "under control", vyma vya upinzani kama vilidhani vinaweza kuwatumia "hao" basi waelewe serikali ipo makini sana kupita kiasi cha fikra zao.

Zitto yupo bara au yupo Zanzibar siku hizi?
 
Unategemea kweli Stenographer awe Makini na Mwerevu kama utakavyo Wewe Mkuu? Tuivumilie tu hiyo bahati mbaya tuliyonayo kwa sasa.
 
Yule ni mnyarwanda kabsa na mdogo wake yupo foreign
Katiba kama inaruhusu kuna shida gani, kuna mtanzania ni waziri huko Ujeruman na anaongea kiswahili vizuri tu, sijawahi kusikia wajeruman wakilalamika, Waziri mkuu wa Uingereza ni muhindi sijawahi kusikia waingereza wakilalamika.Aacheni utoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…