Rais Samia aache kukwepa majukumu

Rais Samia aache kukwepa majukumu

Mnamuonea!!

Hakujiandaa kuwa Rais Wala hakua na vipaumbele vyake,malengo na hulka imekuja baada ya kupata!!

Ndio maana amepwaya coz akili haikujiandaa!

CCM ingemsaidia kumpumzisha lakini Kwa ujinga tulioukumbatia was kofia mbili ya uenyekiti na urais in one,inafanya process kuwa ngumu Hadi dark arts zitumike ndio tuweke mambo sawa!!


So sad!

Wewe NAMBA MOJA AJAYE NCHINI ni ndugu na yoga?
 
Hapa Tanzania kuwa huru kutoka makucha ya CCM ni mpaka hapo vyombo vya ulinzi na usalama vitakapo gawanyika(Kwamba,Wengine waiunge mkono CCM,na Wengine zaidi ya Nusu waseme Kuilinda CCM,nooo ! Hata RAIA wazalendo ndani ya nchi,hata na Nusu ya CCM au zaidi ya moja ya Tatu,Wote kwa pamoja wakianza kuandamana kuelekea STATE House,Halafu Police na Wanajeshi walio wengi Nao wanakaa tu pembeni ya barabara kama vile wanashangaa na bila kuwapiga waandamanaji,Hakika ujue Ukombozi tayari !

Kweli kabisa. Shida ni kwamba majeshi yapo controlled
 
Ukute hata hakuelewa kilichosemwa na mkuu wa majeshi.
Uwezo wa kujibu hoja hapo kwa hapo ni kipaji na kinahitaji uelewa na akili za hali ya juu.

Kila ufafanuzi anaotoa inakuwa tayari keshakaririshwa na wasaidizi wake. Kumpa swali la hapo kwa hapo ni sawa na kumpa mwanafunzi mtihani tofauti na aliovujishiwa.

Atakuja kujibu siku za mbeleni baada ya kuandikiwa majibu. Na huo ndio ukomo wa uelewa wake

Kweli kabisa. Baadala ajadili Jambo zito Kama like yeye anajibu kiwepesi na kuhamisha mada kwenye uchaguzi na kuwakabidhi jeshi jukumu ambalo polisi wangewwza kushugulikia.
 
Mm ccm ila makonda ni simkubali
Screenshot_20240128-233528_Chrome.jpg
 
Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.

Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.

Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .

Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia , kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnamuonea!!

Hakujiandaa kuwa Rais Wala hakua na vipaumbele vyake,malengo na hulka imekuja baada ya kupata!!

Ndio maana amepwaya coz akili haikujiandaa!

CCM ingemsaidia kumpumzisha lakini Kwa ujinga tulioukumbatia was kofia mbili ya uenyekiti na urais in one,inafanya process kuwa ngumu Hadi dark arts zitumike ndio tuweke mambo sawa!!


So sad!
Dark arts tena mkuu
 
Kwa hivyo kwa kauli yako ni kwamba JWTZ walikurupuka.
Hata JWTZ ni Rais pia anawahakiki, ndani ya JWTZ Rais ana watu wa usalama wengi tu, ama laaa, Mkuu wa Majeshi atuambie kwamba yeye Mkuu wa Majeshi ameyaona kwa wanasiasa tu na watendaji wa nje ya jeshi
 
Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.

Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.

Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .

Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia , kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
Kaa ukijua kuwa CDF aliambiwa atoe hilo tangazo ili Rais ambaye ndiye mtoa agizo hilo apate wasaa wa kuwatishia na kuwatia hofu Watanganyika kuwa hawamu hii ya uchaguzi jeshi litakuwa liko tayari kwa lolote hasa upande wa vyama vya siasa.
 
Sidhani, kuwa, JWTZ, walikurupuka. Aidha JWTZ ni miongoni mwa taasisi za, Rais yeye kama amiri Jeshi mkuu. Kabla hawajaongea, alikuwa na taarifa, hiyo.Ufahamu wa wabongo wengi hupo china Sana. Kila kitu wanakifanya kuwa ni siasa tu.
Hawaja kurupuka,bali CDF alipewa agizo hilo na aliyetoa agizo hilo ndiye huyohuyo aliye waagiza hadharani sasa ya kwamba wakae mkao wa kula.
Siyo kwa dhamira ya dhati hapana,ni kampeni za kisiasa wameingizwa Jeshi la Wakurya Tangu Zamani.
 
..Kwa hiyo vyombo vilivyompata CDF taarifa vimekurupa au si vya kuaminika?
CDF ni sehemu tu ya vyombo vya Rais, na Rais hawajibiki kumuamini CDF moja kwa moja, ndio maana ana taasisi zaidi ya moja za kumpa taarifa.

What if hata huyo CDF kapotoshwa?

Rais ana usalama wa taifa, ana uhamiaji, ana watu wa ofisi ya Rais, wakuu wa mikoa, wilaya, kata, tarafa, na kila aina ya taasisi za kumsaidia
 
Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.

Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.

Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .

Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia , kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
Umeshindwa kuelewa kua CDF kaamrishwa aseme yale?

Usicheze kabisa na Intelijensia na namna za kuwatoa hofu wananchi.

Ukiona yametangawa yale ujue ulikuwa unatumwa ujumbe kkwa kina fulani na ujuwe wote waliopo wapo "under control", vyma vya upinzani kama vilidhani vinaweza kuwatumia "hao" basi waelewe serikali ipo makini sana kupita kiasi cha fikra zao.

Zitto yupo bara au yupo Zanzibar siku hizi?
 
Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.

Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.

Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .

Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia , kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
Unategemea kweli Stenographer awe Makini na Mwerevu kama utakavyo Wewe Mkuu? Tuivumilie tu hiyo bahati mbaya tuliyonayo kwa sasa.
 
Yule ni mnyarwanda kabsa na mdogo wake yupo foreign
Katiba kama inaruhusu kuna shida gani, kuna mtanzania ni waziri huko Ujeruman na anaongea kiswahili vizuri tu, sijawahi kusikia wajeruman wakilalamika, Waziri mkuu wa Uingereza ni muhindi sijawahi kusikia waingereza wakilalamika.Aacheni utoto.
 
Back
Top Bottom