Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule jamaa SI anasema eti hao mabaka wameshaanza kupiga jeramba SI ndio au uongo!!?Ile ripoti ya CDF anaichukulia Kama ripoti ya CAG.
Inapigwa muhuri wa NO ACTION.
for archives only.
Ana ziara Mwanza sasa kuna gari inapita mtaani kuwapa taarifa Wananchi juu ya ujio wake,hizo kelele sasa utadhani kuna promotion ya pombe!
Huyu Mama hakubaliki Tanganyika,sijawai kuona ziara ya Rais inatangazwa kana kwamba Wananchi hawamjui Rais wao!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Si ndiyo hao hao mkuu wavunja katiba. wanakwambiaga katiba siyo msahafuSio wale waliompendekeza kwenye chama agombee ubunge.
Tatizo sio ututsi wala unyarwanda tatizo ninaina ya katiba iliyopo je inamsimia ipasavyo!!?na Dola inaweza mfanya chochote Rais akivunja katiba ya nchi au waziri mkuu!!?
Hapo ndio ishu!mi Sina shida hata kama mzungu akiwa Rais Tanzania lakini katiba ina meno ya kumfanya chochote kiongozi yeyote akikiuka katiba!!?
Hii nchi mkinipa 2030 ninawahidi ,kufungia sukari hadi uonyeshe kitambulisho cha kuzaliwa,naahidi, maji nitaweka kote nchini,nitajenga shule na kurepea nitaongeza misaada kwa watu wenye uhitaji nitahakikisha tanesco wamefutwa kama shirika la umeme Tanzania .
Hamna kitu pale, mnatetea monita asiyeyaweza majukumu, jukumu alilopewa ni zito sana, kile cheo ni kikubwa kwakeRais ana vyombo vingi vya kuhakiki taarifa, uongozi sio kukurupuka, lazima afanye due diligence ili asimuonee mtu kwa sababu tu kazaliwa Karagwe, Kigoma, Ngara, Mbeya, Mtwara
Mm ccm ila makonda ni simkubaliKama Makonda ana confidence ya kuwakaripia mawaziri, sembuse mkuu wa majeshi.
CDF alikurupuka. Hakuna mkimbizi aliyeteuliwa serikalini.
Mkimbizi akiwa naturalized ana haki ya kushika nafasi yeyote ile isipokuwa nafasi ya Rais na VP ambao ni lazima wawe watanzania by birth. Nafasi zingine zote sio lazima.
Mtu akiwa naturalized hakuna sababu ya kuendelea kubring up ukimbizi wake. Tatizo wabongo wengi wanaamini mtu akiwa mkimbizi anakuwa mkimbizi milele. Huu ni ujinga wa watanzania walio wengi.
Serikali haiwezi kuteua mkimbizi hata kama serikali ya bongo ni mbaya vp. Maza alimlindia heshima tu ila CDF alipuyanga.
Unaandika vitu usivyo vifahamukwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa.