Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Siyo siri, nchi ilikuwa katika sintofahamu, hofu na ahadi ya ufukara kwa nchi na mtu mmoja mmoja.
Matokeo ya uongozi wa Mwendzake.
Kitu cha kwanza Mam Samia kaondoa ni hofu.
Hofu ilikuwa ya ya kutekwa, kubambikwa kesi za uhujuumu uchumi , kuuwawa na hata kuishia jela bila makosa yoyote.
Pili hofu ya ufukara.
TRA kutumika kupora mali za watu, uspotoa chako unabambikw uhujumu, kuibiwa na kunyang'anywa fedha kama BurueDe Change za Arusha.
Ukiwa mpinzani ndio kabisaa!
Kubambikwa kesi za madawa ya kulevya, kingi akiwa Makonda.
Kuuwa watu, kina Lwajabe na wengine kwenye visulfate.
Hivi vyoote Mama Samia anajaribu kuviondoa.
Kwa mwendo huu naamini hata Katiba Mpya haiko mbali sana.
Tusijaribu watanzania ku bite off more than we can chew.
Tukumbuke vibraka wa Mwendazake bado wapo, na wana madaraka.
Matokeo ya uongozi wa Mwendzake.
Kitu cha kwanza Mam Samia kaondoa ni hofu.
Hofu ilikuwa ya ya kutekwa, kubambikwa kesi za uhujuumu uchumi , kuuwawa na hata kuishia jela bila makosa yoyote.
Pili hofu ya ufukara.
TRA kutumika kupora mali za watu, uspotoa chako unabambikw uhujumu, kuibiwa na kunyang'anywa fedha kama BurueDe Change za Arusha.
Ukiwa mpinzani ndio kabisaa!
Kubambikwa kesi za madawa ya kulevya, kingi akiwa Makonda.
Kuuwa watu, kina Lwajabe na wengine kwenye visulfate.
Hivi vyoote Mama Samia anajaribu kuviondoa.
Kwa mwendo huu naamini hata Katiba Mpya haiko mbali sana.
Tusijaribu watanzania ku bite off more than we can chew.
Tukumbuke vibraka wa Mwendazake bado wapo, na wana madaraka.