Rais Samia aadhimia kuunganisha Kiswahili na lugha ya Kihispaniola akiwa nchini Cuba

Rais Samia aadhimia kuunganisha Kiswahili na lugha ya Kihispaniola akiwa nchini Cuba

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Akiwa nchini Cuba Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza dhamira yake ya kuunganisha lugha ya Kiswahili na lugha ya Kihispaniola ambayo ni lugha ya pili kwa kuzungumzwa na watu wengi duniani baada ya lugha ya kiingereza

Lengo likiwa ni kuwaleta watu wengi pamoja, kuimarisha ushirikiano wa kibiashara, kiuchumi na kiutalii.

Hayo yameelezwa katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Kiswahili Novemba 8, 2024 jijini Havana Cuba ambayo ilieleza kuongeza fursa za ajira kwa vijana kupitia ukalimani kwenye mashirika mbalimbali ya kimataifa na hata kuandaa na kuuza machapisho, huku akisisitiza umuhimu wa Wananchi wa Cuba, Ukanda wa Caribean na Amerika ya Kusini kujifunza kiswahili ili watumie fursa zilizopo Tanzania na Afrika katika shughuli za kiuchumi.

“Tunaamini Kiswahili kitarahisisha na kuwezesha mawasiliano, kwa ajili ya mtangamano, biashara, utalii na uwekezaji barani Afrika kwakuwa kimekuwa na wazungumzaji wengi na kuwa lugha ya jumuiya mbalimbali za kikanda ikiwemo Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Umoja wa Afrika” amesisitiza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Source: CFM Tanzania
 
Akiwa nchini Cuba Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza dhamira yake ya kuunganisha lugha ya Kiswahili na lugha ya Kihispaniola ambayo ni lugha ya pili kwa kuzungumzwa na watu wengi duniani baada ya lugha ya kiingereza

Lengo likiwa ni kuwaleta watu wengi pamoja, kuimarisha ushirikiano wa kibiashara, kiuchumi na kiutalii.

Hayo yameelezwa katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Kiswahili Novemba 8, 2024 jijini Havana Cuba ambayo ilieleza kuongeza fursa za ajira kwa vijana kupitia ukalimani kwenye mashirika mbalimbali ya kimataifa na hata kuandaa na kuuza machapisho, huku akisisitiza umuhimu wa Wananchi wa Cuba, Ukanda wa Caribean na Amerika ya Kusini kujifunza kiswahili ili watumie fursa zilizopo Tanzania na Afrika katika shughuli za kiuchumi.

“Tunaamini Kiswahili kitarahisisha na kuwezesha mawasiliano, kwa ajili ya mtangamano, biashara, utalii na uwekezaji barani Afrika kwakuwa kimekuwa na wazungumzaji wengi na kuwa lugha ya jumuiya mbalimbali za kikanda ikiwemo Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Umoja wa Afrika” amesisitiza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Source: CFM Tanzania
Kimbunga Raphael mchezoooo......karudi na umbea wake wootee
 
Akiwa nchini Cuba Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza dhamira yake ya kuunganisha lugha ya Kiswahili na lugha ya Kihispaniola ambayo ni lugha ya pili kwa kuzungumzwa na watu wengi duniani baada ya lugha ya kiingereza

Lengo likiwa ni kuwaleta watu wengi pamoja, kuimarisha ushirikiano wa kibiashara, kiuchumi na kiutalii.
Polepole anasemaje
 
Akiwa nchini Cuba Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza dhamira yake ya kuunganisha lugha ya Kiswahili na lugha ya Kihispaniola ambayo ni lugha ya pili kwa kuzungumzwa na watu wengi duniani baada ya lugha ya kiingereza

Lengo likiwa ni kuwaleta watu wengi pamoja, kuimarisha ushirikiano wa kibiashara, kiuchumi na kiutalii.

Hayo yameelezwa katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Kiswahili Novemba 8, 2024 jijini Havana Cuba ambayo ilieleza kuongeza fursa za ajira kwa vijana kupitia ukalimani kwenye mashirika mbalimbali ya kimataifa na hata kuandaa na kuuza machapisho, huku akisisitiza umuhimu wa Wananchi wa Cuba, Ukanda wa Caribean na Amerika ya Kusini kujifunza kiswahili ili watumie fursa zilizopo Tanzania na Afrika katika shughuli za kiuchumi.

“Tunaamini Kiswahili kitarahisisha na kuwezesha mawasiliano, kwa ajili ya mtangamano, biashara, utalii na uwekezaji barani Afrika kwakuwa kimekuwa na wazungumzaji wengi na kuwa lugha ya jumuiya mbalimbali za kikanda ikiwemo Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Umoja wa Afrika” amesisitiza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Source: CFM Tanzania
Yeye mwenyewe Samia Suluhu Hassan yupo wapi??

Mbona haonekani kwenye TV, anafanya kazi ya ku x tweet.

Inaonekana unajua tusaidie Samia suluhu yuko wapi???
 
Yeye mwenyewe Samia Suluhu Hassan yupo wapi??

Mbona haonekani kwenye TV, anafanya kazi ya ku x tweet.

Inaonekana unajua tusaidie Samia suluhu yuko wapi???
Ziara yake imeahirishwa Kwa sababu za Hali ya hewa mbaya nchini Cuba.
 
Akiwa nchini Cuba Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza dhamira yake ya kuunganisha lugha ya Kiswahili na lugha ya Kihispaniola ambayo ni lugha ya pili kwa kuzungumzwa na watu wengi duniani baada ya lugha ya kiingereza

Lengo likiwa ni kuwaleta watu wengi pamoja, kuimarisha ushirikiano wa kibiashara, kiuchumi na kiutalii.

Hayo yameelezwa katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Kiswahili Novemba 8, 2024 jijini Havana Cuba ambayo ilieleza kuongeza fursa za ajira kwa vijana kupitia ukalimani kwenye mashirika mbalimbali ya kimataifa na hata kuandaa na kuuza machapisho, huku akisisitiza umuhimu wa Wananchi wa Cuba, Ukanda wa Caribean na Amerika ya Kusini kujifunza kiswahili ili watumie fursa zilizopo Tanzania na Afrika katika shughuli za kiuchumi.

“Tunaamini Kiswahili kitarahisisha na kuwezesha mawasiliano, kwa ajili ya mtangamano, biashara, utalii na uwekezaji barani Afrika kwakuwa kimekuwa na wazungumzaji wengi na kuwa lugha ya jumuiya mbalimbali za kikanda ikiwemo Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Umoja wa Afrika” amesisitiza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Source: CFM Tanzania
Yuko wapi?
 
Angeomba apeleke wanafunzi wakasomee udaktari Cuba
Hivi kila nchi tutajipendekeza na kiswahili tu
Mkienda china mnataka waongee kiswahili
Ujerumani nako hivyo hivyo
Ila taaluma aaaaaaaah
Tujifunze kutoka Cuba imewezaje kuwa na vmadaktari, manesi, hospitality na vyuo vizuri licha ya vikwazo vya muda mrefu na sisi tuweke mfumo kama wao kwenye sekta ya afya.
 
Akiwa nchini Cuba Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza dhamira yake ya kuunganisha lugha ya Kiswahili na lugha ya Kihispaniola ambayo ni lugha ya pili kwa kuzungumzwa na watu wengi duniani baada ya lugha ya kiingereza

Lengo likiwa ni kuwaleta watu wengi pamoja, kuimarisha ushirikiano wa kibiashara, kiuchumi na kiutalii.

Hayo yameelezwa katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Kiswahili Novemba 8, 2024 jijini Havana Cuba ambayo ilieleza kuongeza fursa za ajira kwa vijana kupitia ukalimani kwenye mashirika mbalimbali ya kimataifa na hata kuandaa na kuuza machapisho, huku akisisitiza umuhimu wa Wananchi wa Cuba, Ukanda wa Caribean na Amerika ya Kusini kujifunza kiswahili ili watumie fursa zilizopo Tanzania na Afrika katika shughuli za kiuchumi.

“Tunaamini Kiswahili kitarahisisha na kuwezesha mawasiliano, kwa ajili ya mtangamano, biashara, utalii na uwekezaji barani Afrika kwakuwa kimekuwa na wazungumzaji wengi na kuwa lugha ya jumuiya mbalimbali za kikanda ikiwemo Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Umoja wa Afrika” amesisitiza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Source: CFM Tanzania
Story za furahisha genge. Kiswahili kimeshindwa hata kuwa lugha ya East Africa ndio ikaungane na hicho Kispaniola?
 
Akiwa nchini Cuba Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza dhamira yake ya kuunganisha lugha ya Kiswahili na lugha ya Kihispaniola ambayo ni lugha ya pili kwa kuzungumzwa na watu wengi duniani baada ya lugha ya kiingereza

Lengo likiwa ni kuwaleta watu wengi pamoja, kuimarisha ushirikiano wa kibiashara, kiuchumi na kiutalii.

Hayo yameelezwa katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Kiswahili Novemba 8, 2024 jijini Havana Cuba ambayo ilieleza kuongeza fursa za ajira kwa vijana kupitia ukalimani kwenye mashirika mbalimbali ya kimataifa na hata kuandaa na kuuza machapisho, huku akisisitiza umuhimu wa Wananchi wa Cuba, Ukanda wa Caribean na Amerika ya Kusini kujifunza kiswahili ili watumie fursa zilizopo Tanzania na Afrika katika shughuli za kiuchumi.

“Tunaamini Kiswahili kitarahisisha na kuwezesha mawasiliano, kwa ajili ya mtangamano, biashara, utalii na uwekezaji barani Afrika kwakuwa kimekuwa na wazungumzaji wengi na kuwa lugha ya jumuiya mbalimbali za kikanda ikiwemo Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Umoja wa Afrika” amesisitiza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Source: CFM Tanzania
"Aadhimia" naamini hili neno haliko kwenye lugha ya kiswahili sanifu Wala kiswahili fasaha
 
Haswa, sio mambo yasiyo kuwa na msingi
Yote mawili yanaweza kufanyika kwa pamoja. Kukuza kiswahili inaweza kuwa njia moja ya kukuza utalii, kutangaza utamaduni wetu, historia yetu na vivutio vyetu vingi vya utalii. Sio kitu kibaya.
 
Back
Top Bottom