Huyu Rais usimwamini. kama ameacha hili na waziri kupata jali na mwanafunzi wa UDOM lipite tu, basi usimwamini, acha wizi wa CAGJanja ya nyani hiyo, wameona Lissu mikoani akigusia ishu ya bando wananchi wanamuelewa vizuri sana wameanza kuogopa.
Halafu wanajua uchaguzi wa serikali za mitaa upo kibarazani hapo mwaka 2024, ndo wanajifanya kupozapoza.
Jamaa wajanja sana lakini hatudanganyiki,